Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Huwezi nunua eti saa milioni tatu halafu eti uwatafute wakuwauzia hiyo saa au kuwaunga kwenye mnyororo wako. Utahangaika sana mimi nawafahamu watu kadhaa waliojiunga wakaishia kulia baada ya kununua bidhaa ambazo hawawezi kuuza.
Kuna mdada alikuwa anafanya kazi bureau de change, sijui alidanganywa na nani akaacha kazi baada ya kuaminishwa kwamba atakuwa tajiri ndani ya muda mfupi. Akajiunga huko Q-net na kuchukua mkopo ndo akawekeza huko.
Kilichompata mpaka leo hana hamu hadi alihama jiji maana ni makubwa yaliyomkuta.
Hizi biashara za pyramid scheme ni hatari sana sana,,,, Kuna hawa wengine wanajiita phyto science nao waliowahi wamekula sasa wanaokuja huku chini wanaliwa hatari ...
Kuna mdada alikuwa anafanya kazi bureau de change, sijui alidanganywa na nani akaacha kazi baada ya kuaminishwa kwamba atakuwa tajiri ndani ya muda mfupi. Akajiunga huko Q-net na kuchukua mkopo ndo akawekeza huko.
Kilichompata mpaka leo hana hamu hadi alihama jiji maana ni makubwa yaliyomkuta.
Hizi biashara za pyramid scheme ni hatari sana sana,,,, Kuna hawa wengine wanajiita phyto science nao waliowahi wamekula sasa wanaokuja huku chini wanaliwa hatari ...