JF wazima ? pata ujuzi kidogo nawe kama una maujanja ongeza wengi wetu tumejaza madishi nyumbani kwetu
kwakutumia mfumo huu unaweza ukapunguza. dishi
1 ft 6 unaweza kufunga
LNB sita
CBD-3 na
KU-3 ukituli hadi
CBD 4
angalia hi picha nilivyo funga hapa nyumbani
View attachment 80099
tuanze na hii chini
36.0e kwenda juu
78.5e
36.5e Euntelsat 36A-36B hapo zinapatikana za
DSTV, AGAPE, ZAP, nk
57.0e NSS 12 hapo zinapatika za
ZUKU, na FTA
kenya
64.2e lntelsat 906 hapo za
tanzania mzq nk
68.5e lntelsat 20 KU kuna za
sauzi,naijelia,dini nk
68.5E lntelsat 20 CBD kuna
iljzr,kihindi[/C
JE HAPO KILA SAT NA DECODER YAKE.VIPI KTK ULIPAJI KNG'AMUZI KILA KIMOJA KVYAKE? NIFUMBUE MKUU