Tubadilishane Utaalamu wa kufunga satellite dishi 1 lnb 6

Jamani naombeni msaada kwa mwelekeo wa dishi la king'amuzi cha continental naweza pata chanel zingine?
 
habari. natafuta dishi LA 8ft na 10ft lisiwe LA wavu. nahitaji na bei zake
 

Mkuu naomba kuuliza kuwa My Tv bei zao ni shiling ngapi?
 
Last edited by a moderator:
Kwa sasa channell nyingi kwenye 36E upande wa DSTV ni FTA ila bado najaribu kuongeza LNB ya KU kwenye upande wa Intelsat 906 ila sijafanikiwa.

Mkuu kwa ninavyofahamu mimi kwenye uelekeo wa dstv kuna chanel 5 tu za bure ambazo ni cctv 4, cctv f, cctv e, cctv news na dish tv ya dstv je wewe unazozisemea zipo nyingi ni zipi , naomba frequency nijaribu.
 

Ayahah nina mpeg 2 dah!
 
Reactions: k u
Msaada jinsi ya kufunga lbn ya Ku-band,maana nimejaribu bila mafanikio...receiva yangu ni mediacom910+new na dish futi6...kwenye c band napata itv na ndugu zake ,ch10,mozambique,imaan,star tv ,tbc

Mkuu naomba frequency za imaam
 
Mkuu naomba kufahamu juu ya dstv, uelekeo ambao huwa linatazama west/East?, unascan kama zuku na azam au una+edit kwa ku-add sat na frequenc.
 
Mkuu naomba kufahamu juu ya dstv, uelekeo ambao huwa linatazama west/East?, unascan kama zuku na azam au una+edit kwa ku-add sat na frequenc.
 
Naomba ufafanuz wa aljezira na hiz channel zake za beinsports znapatikanaje nmeona hapa tabora lakin mbeya kwann....
 
Hiyo ya Beinsport hata mimi ninahamu ya kupata maelezo.Wajuzi tusaidieni.
 
Watani zetu wakienda kukipiga uarabuni nadhani tutawaona hapa kupitia El-ahaly tv.
 
Habari za ukimya???...hivi digitek wapo angle gani kwa dish satellite??...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…