Tubadilishane Utaalamu wa kufunga satellite dishi 1 lnb 6

Tubadilishane Utaalamu wa kufunga satellite dishi 1 lnb 6

jf wazima pata ujuzi kidogo nawe kama una maujanja ongeza wengi wetu tumejaza madishi nyumbani kwetu
kwakutumia mfumo huu unaweza ukapunguza. dishi 1 ft 6 unaweza kufunga LNB sita CBD-3 na KU-3 ukituli hadi CBD 4


angalia hi picha nilivyo funga hapa nyumbaniView attachment 80099

tuanze na hii chini 36.0e kwenda juu 78.5e

36.5e Euntelsat 36A-36B hapo zinapatikana za DSTV, AGAPE, ZAP, nk
57.0e NSS 12 hapo zinapatika za ZUKU, na FTA kenya
64.2e lntelsat 906 hapo za tanzania mzq nk
68.5e lntelsat 20 KU kuna za sauzi,naijelia,dini nk
68.5E lntelsat 20 CBD kuna iljzr,kihindi nk
76.5e Apstar 7
78.5e Thaicom 5

76.5e na 78.5e hizi satellite kufunga unabalansi unazipata zote
68.5e CBD na 68.5e KU zinakaa sehem moja CBD chini KU juu
kama huwezi kuchonga zipo dukani zilizo shikana cbd na ku

freq kwenye link hapo chini

78.5eThaicom5
76.5eApstar7
68.5eCBDnaKU
64.2elntelsat906
57.0eNSS-12
36.0eEutelsat36A-36B

naomba namba yako
 
Pia pana namna ya kuchapa code na ku-unlock hivi vi ng'amuzi kwa yeyote ajuae tu-share ujuze. Kwana jamaa yangu alikuwa ananutumiaga code flan ukiziweka ktk king'amuzi unapata chanel nyingi kwa burw na kuachana na kulipia vifurushi.
 
Kaka mi umenimaliza kwa degree 36 hiyo dstv tu,vipi? Signal inakuwa na ukubwa gani? Hapo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu salama,hongrea kwa kazi nzuri ya kuwaelimisha wana jamii,hebu nijukishe kwenye Badr6 26.0e kuna zile channel za Bein Sports inapatikana vipi? nimejaribu kuitafuta kwa muda sasa sijazipata nipo maeneo ya karibu na Dodoma.
 
Please naomba mnisaidie frequency za press tv ya iran

Naona ban ya channel za Iran kwenye satellite za Intelsat imeisha.Sasa Press TV wamerudi kwenye satellite ya Intelsat 20 inapopatikana Emmanuel TV.Tp ni 12602H266657
 
Wakubwa mmezamia wapi maproffecinal tunawategemea.Kwaelim yenu nimeweza kuipata Al jezira, cctv na yadin moja tuongezeeni frequency ambazo nilahisi kutumia kutafutia channel kwenye KU BAND.Mungu awatangulie mwone hampotezi ila mnaongezewa.
Mawimbi yako unachukulia satellite gani? Muhimu tujue ili tutambue namna ya kukusaidia
 
View attachment 109355
hivi hii hapa kwetu inawezekana hii picha nimeipata kwenye forum ya wa Nigeria???

Hii kitu inawezekana kabisa!
Cha msingi ukishajua frequency za hizo satellite ni rahisi, kama alivyoziandika jamaa hapo juu. Ila lazima uwe na satellite finder ili kuweza kuweka hizo LNB kwa usahihi kabisa.
 
Kaka mi umenimaliza kwa degree 36 hiyo dstv tu,vipi? Signal inakuwa na ukubwa gani? Hapo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kwa ninavyojua, ds^v wanapatikana katika Eutelsat iliyo nyuzi 36.0 E, na hiyo kwenye picha ya Nyondoloja ni 36.6 (kwa mujibu wa lebo aliyoweka), kwa hio huenda akapata channels tofauti. Aje afafanue
 
Back
Top Bottom