Bando la wiki
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 911
- 3,017
Wazo zuri kabisa naunga mkono hoja lazima Tanganyika tusimame imara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijalishi tutafanya hivyo mara ngapi bado serikali ya ccm watabaki kwenye usingizi wa pono, wanachojua ni kutengeneza kodi na tozo kuendelea kuwafinya watanganyika ili kughalamia maisha yao ya anasa lakini hawajui kuna sehemu za kimkakati kama hizo ambako wanaweza kuwekeza fedha na ikarudisha faida kubwa, siku tukipata kiongozi anae jitambua na ambae ni mzalendo wa kweli nchi itabadilika ghaflaTuiamshe na kuikumbusha serikali
i
we n mwanaume au ni shangaziiiAcha shobo na wanaume wewe
Ukinywa wewe tu inatosha.
Hakuna Mtanganyika anatetaka kuuvunja muungano bali ni wanasiasa.Naona safari hii watanganyika mmedhamiria kweli kweli kutemana na muungano!!
Je kisiwa cha ukerewe?Hiki kisiwa kikiboreshwa vema kinaweza kuwa mbadala wa Zanzibar japo hakiwezi kuwa kama Zanzibar.
Kina fukwe kubwa na nzuri, Kina utalii wa majini Utalii wa mashambani ni muhimu tujivunie na kuboresha chetu
Wananchi wanataka urekebishwe unufaishe wote somo litawafikiaHakuna Mtanganyika anatetaka kuuvunja muungano bali ni wanasiasa.
NonsenseHaiwezi kuizidi Zanzibar kwa sababu Zanzibar ni brand kubwa kwa sas huko ulimwenguni kote.
ivi unajua kwamba Zanzibar ni maarufu huko duniani kuliko hata Tanzania?
Slow but sure, itafikia huko!Haiwezi kuizidi Zanzibar kwa sababu Zanzibar ni brand kubwa kwa sas huko ulimwenguni kote.
ivi unajua kwamba Zanzibar ni maarufu huko duniani kuliko hata Tanzania?
Haiwezi kuwa kama zanzibar, lakini tuelekee huko kwenye kuboresha, wakiona hayo watakaa kimyaaa!, utashangaa!Mafia haiwezi kuifikia zanzibar hata siku moja!
Kwa tuliyokaa huko na kukizunguka kisiwa na vijivisiwa vyote ndiyo tunasema
Ova
Uwanja wa ndege wa sasa wa mafia bombadier inatua ni wa kuongeza kidogo tuKwa kifupi wageni a.ka watalii wengi wanaokwenda Zanzibari ni wanaenda kupumzika siyo kutalii, hivyo hili wazo wako ni zuri sana.
Na endapo kama itawezekana uwanja la ndege upanuliwe ili ndege kubwa ziwezwe kutua direct na kuwepo hizo five star ✨ hotels kama ulivyosema.
Hili wazo linaweza kuonekana la masikini kwa sababu haupo kwenye mnyororo wa thamani wa system ya CCM ila kimantiki lina lipa.
Mwenye uthubutu hayupo na angekuwepo au akija mbona fasta tu, kesho unasikia kelele za watanganyika "ooh mbona pesa yote inapelekwa mafia, ooh mafia kuna nini kule, itakuwa white elephant project 😂!.
nani kasema iizidi zanzbar?Haiwezi kuizidi Zanzibar kwa sababu Zanzibar ni brand kubwa kwa sas huko ulimwenguni kote.
ivi unajua kwamba Zanzibar ni maarufu huko duniani kuliko hata Tanzania?
hakika umenena washtue wenye mamlakaMafia na visiwa vilio jirani vinaweza vikakuza utalii na maendeleo ya wananchi wa maeneo hayo.
1.Zao la nazi nyingi zinatokea kisiwa cha Mafia
2.Kisiwa cha Songo Songa uchimbaji wa gesi asilia..
3.Fungu Mbaraka ni fungu pana maarufu kwa uvuvi wa samaki.
4.Visiwa vidogo jirani Nyuni na vinginevyo.
5.Bandari ya Kilwa,Kilwa kivinje na Kilwa kisiwani ni Historical site kubwa.
Allah aepushilie mbali hilo ni gumu sana.Nawaza kuna kiongozi atatokea atakipiga bei ila nawaza tu!!!!
Huko hakuna issue. Watalii wanapenda fukwe za bahari ,siyo hizo fukwe za visima (mito) na mabwawa makubwa (maziwa).Je kisiwa cha ukerewe?
kwanza jina lenyewe mafia,hakika litakaa kimafia zaidiKile kisiwa kimekaa kimkakati Sana lakini serikali imekisusa kabisa kile kisiwa ikitokea kwa mfano wamekuja wazungu waka kinunua waka kipiga "sabuni na wavu" vizuri tutakisahau kabisa, lakini bahati mbaya sana hakuna mtu ndani ya serikali ya ccm anae iwazia mema nchi yetu ya Tanganyika
Inasikitisha sana, Tanganyika hatujali mali zetu ipasavyo.Kile kisiwa kimekaa kimkakati Sana lakini serikali imekisusa kabisa kile kisiwa ikitokea kwa mfano wamekuja wazungu waka kinunua waka kipiga "sabuni na wavu" vizuri tutakisahau kabisa, lakini bahati mbaya sana hakuna mtu ndani ya serikali ya ccm anae iwazia mema nchi yetu ya Tanganyika