Tuboreshe kisiwa cha Mafia kama mbadala wa Zanzibar

Tuboreshe kisiwa cha Mafia kama mbadala wa Zanzibar

Tuiamshe na kuikumbusha serikali

i
Haijalishi tutafanya hivyo mara ngapi bado serikali ya ccm watabaki kwenye usingizi wa pono, wanachojua ni kutengeneza kodi na tozo kuendelea kuwafinya watanganyika ili kughalamia maisha yao ya anasa lakini hawajui kuna sehemu za kimkakati kama hizo ambako wanaweza kuwekeza fedha na ikarudisha faida kubwa, siku tukipata kiongozi anae jitambua na ambae ni mzalendo wa kweli nchi itabadilika ghafla
 
Hiki kisiwa kikiboreshwa vema kinaweza kuwa mbadala wa Zanzibar japo hakiwezi kuwa kama Zanzibar.

Kina fukwe kubwa na nzuri, Kina utalii wa majini Utalii wa mashambani ni muhimu tujivunie na kuboresha chetu
Je kisiwa cha ukerewe?
 
Mafia na visiwa vilio jirani vinaweza vikakuza utalii na maendeleo ya wananchi wa maeneo hayo.
1.Zao la nazi nyingi zinatokea kisiwa cha Mafia
2.Kisiwa cha Songo Songa uchimbaji wa gesi asilia..
3.Fungu Mbaraka ni fungu pana maarufu kwa uvuvi wa samaki.
4.Visiwa vidogo jirani Nyuni na vinginevyo.
5.Bandari ya Kilwa,Kilwa kivinje na Kilwa kisiwani ni Historical site kubwa.
 
Mafia haiwezi kuifikia zanzibar hata siku moja!
Kwa tuliyokaa huko na kukizunguka kisiwa na vijivisiwa vyote ndiyo tunasema

Ova
 
Haiwezi kuizidi Zanzibar kwa sababu Zanzibar ni brand kubwa kwa sas huko ulimwenguni kote.
ivi unajua kwamba Zanzibar ni maarufu huko duniani kuliko hata Tanzania?
Slow but sure, itafikia huko!
WHY MAFIA ISLAND HAS BEEN DUMPED?
ITAFUTWE NAMNA, KIPANGWE, KWA RAMANI SAFI, HISTORICAL SITE, ZIBORESHWE, CLEAN AIRPORT, CLEAN ROADS, CLEAN APARTMENT, CLEAN HOTELS & BEACHES!
 
Mafia haiwezi kuifikia zanzibar hata siku moja!
Kwa tuliyokaa huko na kukizunguka kisiwa na vijivisiwa vyote ndiyo tunasema

Ova
Haiwezi kuwa kama zanzibar, lakini tuelekee huko kwenye kuboresha, wakiona hayo watakaa kimyaaa!, utashangaa!
 
Kwa kifupi wageni a.ka watalii wengi wanaokwenda Zanzibari ni wanaenda kupumzika siyo kutalii, hivyo hili wazo wako ni zuri sana.

Na endapo kama itawezekana uwanja la ndege upanuliwe ili ndege kubwa ziwezwe kutua direct na kuwepo hizo five star ✨ hotels kama ulivyosema.

Hili wazo linaweza kuonekana la masikini kwa sababu haupo kwenye mnyororo wa thamani wa system ya CCM ila kimantiki lina lipa.

Mwenye uthubutu hayupo na angekuwepo au akija mbona fasta tu, kesho unasikia kelele za watanganyika "ooh mbona pesa yote inapelekwa mafia, ooh mafia kuna nini kule, itakuwa white elephant project 😂!.
Uwanja wa ndege wa sasa wa mafia bombadier inatua ni wa kuongeza kidogo tu
Kisiwa hiki kina fukwe nzuri sana hebu serikali wakitazame
Haiwezi kuizidi Zanzibar kwa sababu Zanzibar ni brand kubwa kwa sas huko ulimwenguni kote.
ivi unajua kwamba Zanzibar ni maarufu huko duniani kuliko hata Tanzania?
nani kasema iizidi zanzbar?
Mafia na visiwa vilio jirani vinaweza vikakuza utalii na maendeleo ya wananchi wa maeneo hayo.
1.Zao la nazi nyingi zinatokea kisiwa cha Mafia
2.Kisiwa cha Songo Songa uchimbaji wa gesi asilia..
3.Fungu Mbaraka ni fungu pana maarufu kwa uvuvi wa samaki.
4.Visiwa vidogo jirani Nyuni na vinginevyo.
5.Bandari ya Kilwa,Kilwa kivinje na Kilwa kisiwani ni Historical site kubwa.
hakika umenena washtue wenye mamlaka
 
Kile kisiwa kimekaa kimkakati Sana lakini serikali imekisusa kabisa kile kisiwa ikitokea kwa mfano wamekuja wazungu waka kinunua waka kipiga "sabuni na wavu" vizuri tutakisahau kabisa, lakini bahati mbaya sana hakuna mtu ndani ya serikali ya ccm anae iwazia mema nchi yetu ya Tanganyika
kwanza jina lenyewe mafia,hakika litakaa kimafia zaidi
 
Haya madini sana. Kama kuna mtu humu anaweza sogeza hii taarifa mbelembele afanye ivo.
 
Kile kisiwa kimekaa kimkakati Sana lakini serikali imekisusa kabisa kile kisiwa ikitokea kwa mfano wamekuja wazungu waka kinunua waka kipiga "sabuni na wavu" vizuri tutakisahau kabisa, lakini bahati mbaya sana hakuna mtu ndani ya serikali ya ccm anae iwazia mema nchi yetu ya Tanganyika
Inasikitisha sana, Tanganyika hatujali mali zetu ipasavyo.
 
Back
Top Bottom