ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Majini wapo kila mahali na Zanzibar ndio zaidi ,😀Tatizo kuna majini sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majini wapo kila mahali na Zanzibar ndio zaidi ,😀Tatizo kuna majini sana
Ukiwaza hivyo ujue hautakuwa uko peke yako,Nawaza kuna kiongozi atatokea atakipiga bei ila nawaza tu!!!!
Mkuu picha Ni muhimu SanaHiki kisiwa kikiboreshwa vema kinaweza kuwa mbadala wa Zanzibar japo hakiwezi kuwa kama Zanzibar.
Kina fukwe kubwa na nzuri, Kina utalii wa majini Utalii wa mashambani ni muhimu tujivunie na kuboresha chetu
Zanzibar ndiyo nyumbani kwao!Majini wapo kila mahali na Zanzibar ndio zaidi ,😀
uzaramo umekuganda hata hujui dunia ikoje!Huko hakuna issue. Watalii wanapenda fukwe za bahari ,siyo hizo fukwe za visima (mito) na mabwawa makubwa (maziwa).
Wananchi gani zaidi ya wanasiasa, hasa wasaka vyeo. Mwananchi aliyoko Namanyere huko yeye haelewi chochote kuhusu hizo mnazoziita kero za muungano yeye anachojua dunia ni moja na Afrika ni moja maswala ya mipaka ya wakoloni wala hajushughulishi nayo.Wananchi wanataka urekebishwe unufaishe wote somo litawafikia
Haiwezi kuizidi Zanzibar kwa sababu Zanzibar ni brand kubwa kwa sas huko ulimwenguni kote.
ivi unajua kwamba Zanzibar ni maarufu huko duniani kuliko hata Tanzania?
Mafia na visiwa vilio jirani vinaweza vikakuza utalii na maendeleo ya wananchi wa maeneo hayo.
1.Zao la nazi nyingi zinatokea kisiwa cha Mafia
2.Kisiwa cha Songo Songa uchimbaji wa gesi asilia..
3.Fungu Mbaraka ni fungu pana maarufu kwa uvuvi wa samaki.
4.Visiwa vidogo jirani Nyuni na vinginevyo.
5.Bandari ya Kilwa,Kilwa kivinje na Kilwa kisiwani ni Historical site kubwa.
KumbeMkuu fungu Mbaraka ni ya Zanzibar