Tuburudike na kujifunza kwa vituko na tabia za wanyama, ndege na wadudu

Tuburudike na kujifunza kwa vituko na tabia za wanyama, ndege na wadudu

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
UKIPEWA SH.10000 UMFUKUZE KANGA KATAA, HUTAMPATA
Tanzania inatajwa kama taifa linaloongoza kwa kuwa na mbuga pamoja na wanyama wengi duniani.
Itapendeza iwapo tutakuwa tukizielewa tabia za wanyama tuliona pamoja na vituko vyao ambavyo huwa ni burudani kwa binadamu na watalii kutoka nje.Na vile vile kusoma tabia zao kunaongeza akili na kufikiri kwa binadamu.

Mimi leo nitaanza na ndege aina ya kanga ambaye anaishi misituni na majumbani.Ukitaka kumchinja awe kitoweo chako inabidi uwahi mapema kabla hawajatoka kwani akiwa nje si rahisi kumkamata kwa kumfukuza kama kama kuku.

Ukipewa shilingi elfu kumi umshike basi samehe,utaumia bure na hutompata. Ile kufukuzwa na kukimbia yeye ndio furaha na mchezo wake.Kama umemfukuza na hutomkamata basi huenda huko aendako na baadae kukurudia pale ulipo kama kwamba anakwambia tuanze tena..

Hebu kama na wewe una mkasa wa mnyama, ndege au mdudu mwengine lete hapa tuvutie utalii wa ndani na nje. Ukiunganisha na video uliyopiga mwenyewe itakuwa msaada zaidi. Ukikosa ya kwako hata ya watalii itatosha.

1690641244166.png
 
Tanzania inatajwa kama taifa linaloongoza kwa kuwa na mbuga pamoja na wanyama wengi duniani.
Itapendeza iwapo tutakuwa tukizielewa tabia za wanyama tuliona pamoja na vituko vyao ambavyo huwa ni burudani kwa binadamu na watalii kutoka nje.Na vile vile kusoma tabia zao kunaongeza akili na kufikiri kwa binadamu.
Mimi leo nitaanza na ndege aina ya kanga ambaye anaishi misituni na majumbani.Ukitaka kumchinja awe kitoweo chako inabidi uwahi mapema kabla hawajatoka kwani akiwa nje si rahisi kumkamata kwa kumfukuza kama kama kuku.Ukipewa shilingi elfu kumi umshike basi samehe,utaumia bure na hutompata.
Ile kufukuzwa na kukimbia yeye ndio furaha na mchezo wake.Kama umemfukuza na hutomkamata basi huenda huko aendako na baadae kukurudia pale ulipo kama kwamba anakwambia tuanze tena..
Hebu kama na wewe una mkasa wa mnyama,ndege au mdudu mwengine lete hapa tuvutie utalii wa ndani na nje.Ukiunganisha na video uliyopiga mwenyewe itakuwa msaada zaidi.Ukikosa ya kwako hata ya watalii itatosha.
View attachment 2702284
Mbuzi anatabia fulani hivi ya uchokozi, yaani sehemu ambayo umemkataza ndiyo hiyo sehemu atataka kwenda ili mradi tu aone utamfanya nini... Lakini pia Mbuzi wao, huwaonyesha hata wanyama wenzie dharau, anajiona yeye ana uspecial hivi.

All in all napenda sana life style yao Mbuzi, nawapenda pia wanafurahisha sanaa. (Video sina)
 
KUKU ANAKULA VITU VYA SUMU NA SISI TUNAMLA
Kuna nyimbo inasema ukichunguza anachokula kuku basi hutomla.Ni kweli kuku ni moja ya nyama tamu sana na yenye kujenga mwili.Lakini kuku anakula wadudu wenye sumu kali ambao kama tukiwala sisi binadamu hata kwa bahati mbaya tunaweza kufa mara moja,Mfano kuku anakula vinyoka vidogo na pia anakula mijusi,Hii mijusi ndio moja ya vyakula vyake anavyovipenda sana,Akimuona atafukuzana naye kwa juhudi sana,Ajabu mara akishamla na ukaamua kumchinja ili na wewe umfanye kitoweleo basi kule tumboni humuoni na nyama yake inabaki na utamu ule ule.
Mwangalie huyu akimeza nyoka mzima mzima.Ndio maana bibi yangu hali kuku mpaka achinjwe asubuhi kabla hajatoka bandani.
 
KONDOO MPOLE KICHWA CHAKE KINAUWA
Leo nawaletea mkasa wa babu anayejiamini kupigana na kondoo pia tukio la kusikitishwa na mtoto aliyeingia kwenye zizi na kuuliwa na kondoo.Angalia hapo

 
Kanga sijui kama Wana akili Hawa ndege hawajatulia kabisa kila siku wananiacha Hoi kwa vituko vyao
Unampitia pembeni yeye kule kasharuka miguu haitulii muda wote wanarukaruka
 
Kanga sijui kama Wana akili Hawa ndege hawajatulia kabisa kila siku wananiacha Hoi kwa vituko vyao
Unampitia pembeni yeye kule kasharuka miguu haitulii muda wote wanarukaruka
Anarusha miguu vipi
 
Mbuzi anatabia fulani hivi ya uchokozi, yaani sehemu ambayo umemkataza ndiyo hiyo sehemu atataka kwenda ili mradi tu aone utamfanya nini... Lakini pia Mbuzi wao, huwaonyesha hata wanyama wenzie dharau, anajiona yeye ana uspecial hivi.

All in all napenda sana life style yao Mbuzi, nawapenda pia wanafurahisha sanaa. (Video sina)
Hapo kwenye mbuzi kwelii.
 
Mbuzi anatabia fulani hivi ya uchokozi, yaani sehemu ambayo umemkataza ndiyo hiyo sehemu atataka kwenda ili mradi tu aone utamfanya nini... Lakini pia Mbuzi wao, huwaonyesha hata wanyama wenzie dharau, anajiona yeye ana uspecial hivi.

All in all napenda sana life style yao Mbuzi, nawapenda pia wanafurahisha sanaa. (Video sina)
 
Kuna thread wamejadiliwa njiwa, najihisi kuvutiwa nao....natamani kuwafuga, ila sasa kwamba hawapendi kelele.....mi mbona nna kelele na hawa watoto humu ndani watakaa kweli njiwa au ndio day 1 tu wataumia masikio wakimbie.
 
Kanga bado sijaamua kufuga. In shaa Allaah nitajaribu


IMG-20230211-WA0024.jpg
IMG-20230211-WA0025.jpg
IMG-20230207-WA0000.jpg
IMG-20230206-WA0020.jpg

 
Kuna thread wamejadiliwa njiwa, najihisi kuvutiwa nao....natamani kuwafuga, ila sasa kwamba hawapendi kelele.....mi mbona nna kelele na hawa watoto humu ndani watakaa kweli njiwa au ndio day 1 tu wataumia masikio wakimbie.
Njiwa pia wana uchuro.Unaweza ukakaa nao muda mrefu.Siku ukiona wanahama na hujawakosea kitu basi ujue safari yako iko karibu.
 
Back
Top Bottom