Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Naona sio uchuro ni utabiriNjiwa pia wana uchuro.Unaweza ukakaa nao muda mrefu.Siku ukiona wanahama na hujawakosea kitu basi ujue safari yako iko karibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona sio uchuro ni utabiriNjiwa pia wana uchuro.Unaweza ukakaa nao muda mrefu.Siku ukiona wanahama na hujawakosea kitu basi ujue safari yako iko karibu.
Kuna nyimbo zinaimbwa "Njiwa bora kumuuwa kuliko kumsaliti..."Eti kila njiwa anakaa na dume mmoja tu mpaka afe.Hivi ni kweli?.Kuna thread wamejadiliwa njiwa, najihisi kuvutiwa nao....natamani kuwafuga, ila sasa kwamba hawapendi kelele.....mi mbona nna kelele na hawa watoto humu ndani watakaa kweli njiwa au ndio day 1 tu wataumia masikio wakimbie.
KUKU ANAKULA VITU VYA SUMU NA SISI TUNAMLA
Kuna nyimbo inasema ukichunguza anachokula kuku basi hutomla.Ni kweli kuku ni moja ya nyama tamu sana na yenye kujenga mwili.Lakini kuku anakula wadudu wenye sumu kali ambao kama tukiwala sisi binadamu hata kwa bahati mbaya tunaweza kufa mara moja,Mfano kuku anakula vinyoka vidogo na pia anakula mijusi,Hii mijusi ndio moja ya vyakula vyake anavyovipenda sana,Akimuona atafukuzana naye kwa juhudi sana,Ajabu mara akishamla na ukaamua kumchinja ili na wewe umfanye kitoweleo basi kule tumboni humuoni na nyama yake inabaki na utamu ule ule.
Mwangalie huyu akimeza nyoka mzima mzima.Ndio maana bibi yangu hali kuku mpaka achinjwe asubuhi kabla hajatoka bandani.
Kuna thread wamejadiliwa njiwa, najihisi kuvutiwa nao....natamani kuwafuga, ila sasa kwamba hawapendi kelele.....mi mbona nna kelele na hawa watoto humu ndani watakaa kweli njiwa au ndio day 1 tu wataumia masikio wakimbie.
Tena ukutane na vimbuzi viko kama Vilast born vikorofii na hamna kitu unaweza kuvifanya🤣🤣🤣Mbuzi anatabia fulani hivi ya uchokozi, yaani sehemu ambayo umemkataza ndiyo hiyo sehemu atataka kwenda ili mradi tu aone utamfanya nini... Lakini pia Mbuzi wao, huwaonyesha hata wanyama wenzie dharau, anajiona yeye ana uspecial hivi.
All in all napenda sana life style yao Mbuzi, nawapenda pia wanafurahisha sanaa. (Video sina)
Mbuzi anasema ilikuwa Jana!hakumbuki ya Leo!Mbuzi anatabia fulani hivi ya uchokozi, yaani sehemu ambayo umemkataza ndiyo hiyo sehemu atataka kwenda ili mradi tu aone utamfanya nini... Lakini pia Mbuzi wao, huwaonyesha hata wanyama wenzie dharau, anajiona yeye ana uspecial hivi.
All in all napenda sana life style yao Mbuzi, nawapenda pia wanafurahisha sanaa. (Video sina)
Mkuuu hii ni kweli mm home nafuga kuku,kunguru walikuwa wanaiba sana mayai Kuna mwamba akaniambia tafuta manati weka juu ya mlango,KUNGURU WANAIJUA MANATI.NAJIULIZA WALIIONA WAPI
Hapa nyumbani nimeishi na kunguru wawili wasumbufu kwa zaidi ya miezi sita.Wanakwapua na kuchafua mazingira kila siku.Hata nikiokota jiwe nikawatishia hawatishiki na wanarudi baada ya muda mfupi.
Sasa nikaamua nisiwatishie tena bali niwatafutie silaha nitakayoweza kuwafikia kwa ghafla ambayo ni manati.Siku nilipoingia nayo ndani nikawaonesha na kuwaambia mumeiona hii.Halafu nikainyuuwa kama nataka kurusha kijiwe kwayo. Ndio ikawa siku ya mwisho kuwaona.
Kilichonifanya nikanunue manati ni ile jeuri yao.Kila nikiinua mkono kutishia kuwapiga wanasogea tu.Hata ukipiga mayowe wanakuzomea.Nikaona nitafuta kitu kitakachowaendea kwa kasi.Muuzaji wa manati ndio akajiongeza kunishawishi kuwa hii wakiiona tu wanakimbia.Nikahakikisha nilipofika nayo nyumbani.Mpaka leo kimya kabisa.Mkuuu hii ni kweli mm home nafuga kuku,kunguru walikuwa wanaiba sana mayai Kuna mwamba akaniambia tafuta manati weka juu ya mlango,
Uwezi amini huwa wanapita Kwa mbali lkn hawasogei eneo langu.