Bacore
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 222
- 228
Wafanya kazi tumekuwa tunateseka sana, maisha magumu, mishahara haipandi na bado wanavamia mifuko ya kijamii NSSF/PSSSF wanasema mpaka ufikishe miaka 55, huo ni onyonyaji, kodi za serikali zinakatwa PAYE, kwa kila mfanyakazi.
Lakini bado mnataka hadi NSSF/PSSSF, Huu ni uonezi, ubabe wa kimasikini, hebu tujalibu upande mwingine wananchi wa TZ, ukijitambua, utampa Tundu Lissu, hatuna sabau ya kuwapigia kura CCM, ndege na barabara ni wajibu wa serikali kufanya hivyo na kodi zetu zinatolewa huko.
Tunajuwa kutakuwa na uwizi wa kura, hilo lipo wazi, kwakuwa tumewachoka, hatuwaitaji, watu gani kidogo tuu, mabomu, kidogo tu, mauwaji, tumechoka, kula zote ni chadema,
Lakini bado mnataka hadi NSSF/PSSSF, Huu ni uonezi, ubabe wa kimasikini, hebu tujalibu upande mwingine wananchi wa TZ, ukijitambua, utampa Tundu Lissu, hatuna sabau ya kuwapigia kura CCM, ndege na barabara ni wajibu wa serikali kufanya hivyo na kodi zetu zinatolewa huko.
Tunajuwa kutakuwa na uwizi wa kura, hilo lipo wazi, kwakuwa tumewachoka, hatuwaitaji, watu gani kidogo tuu, mabomu, kidogo tu, mauwaji, tumechoka, kula zote ni chadema,