Tuchambue haya majina ili kubakiwa na majina 10 ya wanaJF walioupiga mwingi humu 2024

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361

DR Mambo Jambo
 
Hapo GENTAMYCINE mtoe kabisa maana kalamba bans kibao za Maximelo; hana key-lean sheet huyo.

Halafu britanicca na wakili msomi Pascal Mayalla waandike mara mbili mbili hawa.

Of course bila kumsahau Mathanzua maana kwa conspiracy theory, hajambo kweli kweli. Japo mwishoni huwa zinageukaga kuwa ukweli fulani hivi.

Mwisho kabisa, lakini si kwa umuhimu, mwandike Miss Zomboko kwa sababu hapendi interactions zozote na members.

Akishatupia zile taarifa zake za Msumbuji, mara CDC, mara DRC, mara wapi wapi huko, utamwona yuleee kajituliza zake kama kasuku. Hapendi maneno.
 
ni kwa Neema na Baraka za Mungu haya yote yamefanyika kwa amani japo karama na vipawa havilingani.

shukrani za kipekee zimuendee mtoa hoja MamaSamia2025 kwa kutambua mchango wangu, na kuthamini jitihada za kizalendo za wote waliotajwa kwa uchache kwenye orodha hii ya walioupiga mwingi 2024.

zaidi sana,
members wote wa JF wapewe mau yao kwa namna ambavyo wamekua chachu ya hamasa kwenye majukwaa mbalimbali, binafsi nimeanufaika pakubwa na plafom hii kama kiongozi na bado niana nia na dhamira ya kujifunza na kuchota maarifa zaidi...

hata hivyo,
kwa umuhimu wa kipekee sana,
niwashukuru sana vingozi na wasimamizi wa JamiiForums kwa ujumla wao kwa namna ambavyo wametuguide na kuhakikisha wanasimamia hoja zenye maadili na mijadala inayozingatia vigezo na masharti ya kistaarabu.

aidha nampendekeza comrade MamaSamia2025 kama member muhimu alie upiga mwingi vilivyo kwa mwaka huu 2024 katika jukwaa hili la maana mno la siasa.

nawatakia nyote maandalizi mema sana ya Christmass in advance na heri ya mwaka mpya2025.

kumbukeni,
kama taifa, Oct.2025 tuna jambo letu kwa kipenzi cha waTanzania DR.Samia Suluhu Hassan.

Mungu Ibariki Tanzanina
 
Baada ya kukuona kwenye list nkajua tayari ni trash!! Takataka za chooni kabisa
 
Sasa mbona hao wote nimewazidi akili mbali sana 😛😛 nilikuwa kwenye ban ila nilijitahidi nilifanikiwa kuvuka week mbili bila ya BAN nipongezwe ...sijui safari hii kama nitavuka siku 3
 
2,,6,7,9,10 na 13
 
Huo ni mtazamo wako.

Mtazamo wa JF ni uwazi na weledi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…