Tuchambue haya majina ili kubakiwa na majina 10 ya wanaJF walioupiga mwingi humu 2024

Umughaka mwaka huu amefanya nini? Huyu 2023 ndio alikuwa na mambo mengi, deepond na mama J nadhani ni 2023,
Mtibeli amefanya vyema na tuzo alipewa na max.
Chawa lucas anaonekana anafanya ujinga lakini yupo kimkakati, " faida ipo mama hana choyo". Na machawa wengine wa kisiasa wote CCM na CHADEMA .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…