samwel boaz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 269
- 143
Hiyo lugha ya ishara ata kwa baba anaitumia!Hehehe kuna uhusiano na uelewa mkubwa sana wa lugha ya ishara baina ya mama na mtoto.
brain is the beautiful part of the body.
Haahaaa hii Kali! Mvumile anakupunguza unzinziHuyu atakuwa Mmama wa bongo movie kwani mimi Mama yangu hajawahi kuniambia haya hata siku moja, ni mke wangu tu huwa anakuwa na maneno machache uliyo andika humu so I guess katoa kwak au huko mitaani. Nikichelewa kurudi nyumbani utamsikia kakulisha nini leo? Simjibu kwani najuwa anamaanisha nani n nini lengo lake. Akiona sina jibu ananifuata chumbani na kunisachi change, akikuta hakuna utamsikia yaani baba wewe huna hata huruma, hela zote umemuachia yeye? Yaani ni full vituko....nikila na kuita watoto tule wote utamsikia, unawaitia watoto ili ukale kule? Yaani hapa sina hata hawara na sijafikiria kuwa naye kwani nampenda sana mke wangu ila vituko vyake tu ni muziki shinda Twanga Pepeta na ndicho kitakachonikimbiza kwake.
Dhuuuu jipi jemaani pale umefanya kosa akakushushia kichapo ile unaanza kulia kwa sauti kubwa kutafuta msaada, anaongeza kipigo mixer kufinya mapajani na mgogoni then utamsikia "UNATAKA KUNIJAZIA WATU HAPA" unajua kinachofuata pwuuu puuhh nw mwitikio inabidi ubadilike kuwa inhiii nhii iiiiiii hadi show iishe
sasa balaa kubwa kuliko la makinikia ya accacia ni pale atakapokushushia kpigo ukanyamaza kwa kuwa alishakuonya kulia utamsikia "HULII UMEKUWA SUGU EEhh" kichapo kinaendelea hadi uchange gia angani na kuanza kulia kwa sauti
ukilia=kosa
ukinyamaza=kosa
Haahaa unamkazia jicho nae anakaza[emoji23] [emoji23]Umeonae lkn mitot ya siku hiz hata wazazi wa kizazi hiki wamesahau kutumia hii ishar ya jicho
Dah!!!sisi watoto wa zamani tulikuwa watiifu sana hata kwa mambo hayawezekani.Pale unapoagizwa/kutumwa sehemu harafu yeye anatema mate chini....... ha ha hahaaa!! hapo huhitaji elimu ya darasa la 3 kujua nini kinaendelea!!
Ni mwendo wa mbio tu, olewako urudi ukute yale mate yamekauka pale chini!!
Hahah tabasamu analokuonyesha utajihis dunia nzima unapendwa ukirudi nyumban utajuta kuzaliwa daaa wametuwekea mising mizur sanaUkila kwa watu na akakuona na kukuchekea kama amefurahi kumbe baada ya apo unaviziwa chumbani au sebuleni hicho kichapo !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha ha ha ha dah wamama nawapendaga sanaPale unapoagizwa/kutumwa sehemu harafu yeye anatema mate chini....... ha ha hahaaa!! hapo huhitaji elimu ya darasa la 3 kujua nini kinaendelea!!
Ni mwendo wa mbio tu, olewako urudi ukute yale mate yamekauka pale chini!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] duuurr umenikumbusha mbali xana[emoji68][emoji65][emoji65][emoji68][emoji66][emoji65][emoji68][emoji66][emoji65] Nani kama mama ??
Utajuaje kama mama ako ni mtanzania.........
-Ni pale unapo mkopa hela alafu uki mdai.... Ana kuuliza chakula unacho kulaga humu ndani uwa unalipia..?
Huyo mbongo
-Ni anapo kuachia kazi alafu anaenda na remote kazin.......usisubir kuambiwa
-nipale unapo aga kwenda kwa rafik ako kupiga story alafu anakuuliza iv Lin uyo rafik ako amewah kuja kwenu....... Huyo hajahamia bongo
Nipale anapo kuuliza kama chakula alicho kupakulia kinatosha ukisema hapana ana kwambia kapike mwenyewe...... Huyo wakwetu
Ni pale unapo wekewa nguo za Aina mbili za jumapil na zakushindia sasa jikute nunda ushindie za jumapil utajuta kwa hayo makofi.......mama huyo wahapahapa
Nipale unapo sahau kumsalimia asubuh alafu ana kusalimia yeye shkamoo.... Ohoo kaa mbali kwa mda huo..... Huyu haina haja ya kuulizia anatokea wapi
Nipale anaposinzia huku mnaangalia tv na hatak mbadilishe channel.....huyu wahapahapa......
Nipale unapo kuwa store alafu anakuita jikoni alafu anakwambia nenda kanichukilie mwiko store..... Na huyu niwaambie anatokea wapi..
Kuna Vyombo vingine anavitoa tuu wakija wageni..... Haaahaa ni mama usimuulize utaifa huyu unakosea
Ni pale unavo rud kwenu unamwambia umeshika nafasi ya pili darasan anakuuliza wa kwanza anavichwa vi wili??..... Yupo kweny list ya wamama wabongo...
Sasa unataka kujua serikali ina mkono mrefu @Dokoa nyama udakwee!!!!!!!!!
Utamuona trump kwenye mwembe .....
a tunawapenda mama zetu wakitanzania.........
.
[emoji23] [emoji23] anakupa kipigo heavy ukilia anakuliza unalia nini paaa paaa kipigo paaa funga kinywani pale umefanya kosa akakushushia kichapo ile unaanza kulia kwa sauti kubwa kutafuta msaada, anaongeza kipigo mixer kufinya mapajani na mgogoni then utamsikia "UNATAKA KUNIJAZIA WATU HAPA" unajua kinachofuata pwuuu puuhh nw mwitikio inabidi ubadilike kuwa inhiii nhii iiiiiii hadi show iishe
sasa balaa kubwa kuliko la makinikia ya accacia ni pale atakapokushushia kpigo ukanyamaza kwa kuwa alishakuonya kulia utamsikia "HULII UMEKUWA SUGU EEhh" kichapo kinaendelea hadi uchange gia angani na kuanza kulia kwa sauti
ukilia=kosa
ukinyamaza=kosa
Hii huwa inabore sana unakuta mtoto anafanya mambo ya kijinga mbele ya wageni na mzazi wake anaona sawa tuu wala hamkemei mtoto eti madai yao wanawapenda watoto wao ndio maana watoto wanawazalilisha mbele za watu hayo ni malezi ya kipuuzi mno.Umeonae lkn mitot ya siku hiz hata wazazi wa kizazi hiki wamesahau kutumia hii ishar ya jicho
Daah hii ya kulala mchana ilikuwa adhabu kubwa sana kwangu, mbaya zaidi unaskia sauti za wenzio wanacheza kwa mbali hakuna namna lazima ulale basi utabinya jicho moja mpaka utapitiwa na usingiz, pongezi kwa wamama wote wa kipindi hicho.Hujalala mchana harafu unasinzia usiku utaamshwa kwa maji ya baridi.. Ama kweli mama zetu wa kipindi hicho walijua wajibu wao kwa watoto
Send from Nokia batani