Tucheke na mama zetu leo

Tucheke na mama zetu leo

Yeah ni kweli mama zetu waliotulea kipindi hiko walitupatia ulinzi na misingi mizuri ya maisha , tofauti na wa mama wa kizazi hiki ndio sababu kumeibuka vijana wa ovyo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujalala mchana harafu unasinzia usiku utaamshwa kwa maji ya baridi.. Ama kweli mama zetu wa kipindi hicho walijua wajibu wao kwa watoto

Send from Nokia batani
 
Huyu atakuwa Mmama wa bongo movie kwani mimi Mama yangu hajawahi kuniambia haya hata siku moja, ni mke wangu tu huwa anakuwa na maneno machache uliyo andika humu so I guess katoa kwak au huko mitaani. Nikichelewa kurudi nyumbani utamsikia kakulisha nini leo? Simjibu kwani najuwa anamaanisha nani n nini lengo lake. Akiona sina jibu ananifuata chumbani na kunisachi change, akikuta hakuna utamsikia yaani baba wewe huna hata huruma, hela zote umemuachia yeye? Yaani ni full vituko....nikila na kuita watoto tule wote utamsikia, unawaitia watoto ili ukale kule? Yaani hapa sina hata hawara na sijafikiria kuwa naye kwani nampenda sana mke wangu ila vituko vyake tu ni muziki shinda Twanga Pepeta na ndicho kitakachonikimbiza kwake.
Haahaaa hii Kali! Mvumile anakupunguza unzinzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni pale umefanya kosa akakushushia kichapo ile unaanza kulia kwa sauti kubwa kutafuta msaada, anaongeza kipigo mixer kufinya mapajani na mgogoni then utamsikia "UNATAKA KUNIJAZIA WATU HAPA" unajua kinachofuata pwuuu puuhh nw mwitikio inabidi ubadilike kuwa inhiii nhii iiiiiii hadi show iishe

sasa balaa kubwa kuliko la makinikia ya accacia ni pale atakapokushushia kpigo ukanyamaza kwa kuwa alishakuonya kulia utamsikia "HULII UMEKUWA SUGU EEhh" kichapo kinaendelea hadi uchange gia angani na kuanza kulia kwa sauti

ukilia=kosa
ukinyamaza=kosa
Dhuuuu jipi jemaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale unapoagizwa/kutumwa sehemu harafu yeye anatema mate chini....... ha ha hahaaa!! hapo huhitaji elimu ya darasa la 3 kujua nini kinaendelea!!

Ni mwendo wa mbio tu, olewako urudi ukute yale mate yamekauka pale chini!!
Dah!!!sisi watoto wa zamani tulikuwa watiifu sana hata kwa mambo hayawezekani.
kuna siku nilijaribu hili zoezi kwa mtoto wangu lkn nilifeli kwa maswali niliyopata.
1.aliuliza kwa sababu gani?
nikamjibu ili uende haraka na urudi haraka.
2.kwani mama mate huwa yanakauza muda gani?
nikamjibu baada ya dakika 10.
Akasema mama siyo mbona mimi nikitema mate yanakauka saa hiyohiyo.

Alienda nilikomtuma lkn siyo kwa masharti ya kutema mate.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kinapotea ndani mpka yeye adhibitishe kuwa kweli hakionekani na kitakuwa kweli kimeptotea
atainua hadi vitanda
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimesoma uzi wote nimecheka mpaka basi maana naona yote yaliyosemwa ma yangu alikuwa naye nayo

mungu amponye

Sent using Jamii Forums mobile app

 
  • Thanks
Reactions: cdc
[emoji68]‍[emoji65]‍[emoji65][emoji68]‍[emoji66]‍[emoji65][emoji68]‍[emoji66]‍[emoji65] Nani kama mama ??

Utajuaje kama mama ako ni mtanzania.........

-Ni pale unapo mkopa hela alafu uki mdai.... Ana kuuliza chakula unacho kulaga humu ndani uwa unalipia..?
Huyo mbongo

-Ni anapo kuachia kazi alafu anaenda na remote kazin.......usisubir kuambiwa

-nipale unapo aga kwenda kwa rafik ako kupiga story alafu anakuuliza iv Lin uyo rafik ako amewah kuja kwenu....... Huyo hajahamia bongo

Nipale anapo kuuliza kama chakula alicho kupakulia kinatosha ukisema hapana ana kwambia kapike mwenyewe...... Huyo wakwetu

Ni pale unapo wekewa nguo za Aina mbili za jumapil na zakushindia sasa jikute nunda ushindie za jumapil utajuta kwa hayo makofi.......mama huyo wahapahapa

Nipale unapo sahau kumsalimia asubuh alafu ana kusalimia yeye shkamoo.... Ohoo kaa mbali kwa mda huo..... Huyu haina haja ya kuulizia anatokea wapi

Nipale anaposinzia huku mnaangalia tv na hatak mbadilishe channel.....huyu wahapahapa......

Nipale unapo kuwa store alafu anakuita jikoni alafu anakwambia nenda kanichukilie mwiko store..... Na huyu niwaambie anatokea wapi..

Kuna Vyombo vingine anavitoa tuu wakija wageni..... Haaahaa ni mama usimuulize utaifa huyu unakosea

Ni pale unavo rud kwenu unamwambia umeshika nafasi ya pili darasan anakuuliza wa kwanza anavichwa vi wili??..... Yupo kweny list ya wamama wabongo...

Sasa unataka kujua serikali ina mkono mrefu @Dokoa nyama udakwee!!!!!!!!!
Utamuona trump kwenye mwembe .....

a tunawapenda mama zetu wakitanzania.........
.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] duuurr umenikumbusha mbali xana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni pale umefanya kosa akakushushia kichapo ile unaanza kulia kwa sauti kubwa kutafuta msaada, anaongeza kipigo mixer kufinya mapajani na mgogoni then utamsikia "UNATAKA KUNIJAZIA WATU HAPA" unajua kinachofuata pwuuu puuhh nw mwitikio inabidi ubadilike kuwa inhiii nhii iiiiiii hadi show iishe

sasa balaa kubwa kuliko la makinikia ya accacia ni pale atakapokushushia kpigo ukanyamaza kwa kuwa alishakuonya kulia utamsikia "HULII UMEKUWA SUGU EEhh" kichapo kinaendelea hadi uchange gia angani na kuanza kulia kwa sauti

ukilia=kosa
ukinyamaza=kosa
[emoji23] [emoji23] anakupa kipigo heavy ukilia anakuliza unalia nini paaa paaa kipigo paaa funga kinywa
 
Umeonae lkn mitot ya siku hiz hata wazazi wa kizazi hiki wamesahau kutumia hii ishar ya jicho
Hii huwa inabore sana unakuta mtoto anafanya mambo ya kijinga mbele ya wageni na mzazi wake anaona sawa tuu wala hamkemei mtoto eti madai yao wanawapenda watoto wao ndio maana watoto wanawazalilisha mbele za watu hayo ni malezi ya kipuuzi mno.
 
Hujalala mchana harafu unasinzia usiku utaamshwa kwa maji ya baridi.. Ama kweli mama zetu wa kipindi hicho walijua wajibu wao kwa watoto

Send from Nokia batani
Daah hii ya kulala mchana ilikuwa adhabu kubwa sana kwangu, mbaya zaidi unaskia sauti za wenzio wanacheza kwa mbali hakuna namna lazima ulale basi utabinya jicho moja mpaka utapitiwa na usingiz, pongezi kwa wamama wote wa kipindi hicho.
 
  • Thanks
Reactions: cdc
Back
Top Bottom