DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Anasema kocha wa BAYERN MUNICH, Thomas Tuchel
"Nmeiangalia Real. Madrid na wachambuz wangu. Ukiyachunguza sana magoli Yao au nafasi zao, na ukarejesha sekunde 10 nyuma, Huwezi kuona Kama wanakuja, huwez kuona dalili yoyote ya goli.
Kila kitu kinaonekana Kiko sawa, Kisha ukitulia sekunde 5 mbele , utashangaa goli Hili apa"
"Nmeiangalia Real. Madrid na wachambuz wangu. Ukiyachunguza sana magoli Yao au nafasi zao, na ukarejesha sekunde 10 nyuma, Huwezi kuona Kama wanakuja, huwez kuona dalili yoyote ya goli.
Kila kitu kinaonekana Kiko sawa, Kisha ukitulia sekunde 5 mbele , utashangaa goli Hili apa"
