Tuchukulie nimenunua gari la Millioni 20 na sijajenga,

Wee jamaa kichwani kwako kumejaa busara tupu yaan...

Kudos mkuu
 
bora gari kuliko mjengo; hata ukikosa hela ya kodi,utalala kwenye mgari wako
Inawezekana.

Muhimu uwe na Van. Yenye ukubwa wakutosha kitanda kidogo, jiko, composite toilet, water tank etc.

Van Life poa sana. Vile kama wewe unapenda kusafiri na kuishi kwenye Van....unaenjoy sana.

Unaweza safiri for three months. Halafu unarudi mji wako wa awali kujipanga tena.

This idea is perfect for online entrepreneurs who love travelling.

Ni vile kufanya life iwe tofauti na kukumbukwa.

Maisha ya nenda shule, tafuta kazi, lipwa mshahara, zaa watoto, omba mkopo, jenga nyumba, anza kulipa mkopo, halafu unazeeka unakufa.

Hiyo life ni boring balaa.
 
oyaaa hapo ulipo una kipi kati ya nyumba ama gari...au una vyote.!!?
 
Apa ndipo utataka ndugu jamaa majirani na marafiki tukutolee povu lote utadhani tulikusaidia kuzipata.
 
Anajishaua na mkokoteni wake...hapo hana nyumba angekua na nyumba tusingepumua...na namtaka siku animwagie maji akiwa kwenye hilo kokoteni lake au hata anipigie honi atanijua mie ndio nani...anaona kayapatia maisha kisa hilo skrepa...msieeeew
 
Ahsanteee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…