RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Putin anatarifa zote za Tucker.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna pahala niliposema nikosa, lakini Tucker alikataliwa kujiunga, Sasa Putin anamwambia Tucker kama alitaka kujiunga akakataliwa, Tucker anaonekana kustaajabu kama kumbe Jamaa anajua.Kuwa CIA sio kosa kwa sababu yeye ni mmarekani mbona waandishi wa habari wengi wa Tanzania ni usalama hata wapinzani wengi tu ni usalama
Ki earphones huyo naeKuwa CIA sio kosa kwa sababu yeye ni mmarekani mbona waandishi wa habari wengi wa Tanzania ni usalama hata wapinzani wengi tu ni usalama
Ingia Russian TV (RT Today) wameirusha yote bila kuficha chochote.Hii interview nilikuwa naisubiri kwa hamu, niliisoma tu juujuu Al Jzazeera juzi ilikuwa bado haijaruka hewani, ngoja niicheki.
B... unakumbuka nilikwambia hii? Mdakuzi
Naangalia kwenye YouTube Channel ya Tucker Carlson mwenyewe, masaa mawili!Ingia Russian TV (RT Today) wameirusha yote bila kuficha chochote.
😂 🤣 😆 Hiyo interview ni bomba sana kiasi kwamba masaa 2 unayaona kama dakika 10 tu.Naangalia kwenye YouTube Channel ya Tucker Carlson mwenyewe, masaa mawili!
Kazi ipo.
Tokea juzi nilianza kuisoma kwenye vyombo vya habari, nimeisubiri kwa hamu sana.😂 🤣 😆 Hiyo interview ni bomba sana kiasi kwamba masaa 2 unayaona kama dakika 10 tu.
Iko kwa lugha gani sasa,,,Putin anaongeaga English kweli?Naangalia kwenye YouTube Channel ya Tucker Carlson mwenyewe, masaa mawili!
Kazi ipo.
Anaongea Kirusi ila wanatafsiri, kiasi inakata ila sio mbaya.Iko kwa lugha gani sasa,,,Putin anaongeaga English kweli?
Weka option ya subtitles inakua bora zaidi . Maana hizi lugha zilikuja na meli Kwa sisi tuliosoma st Kayumba inakua vizuri zaidi.Anaongea Kirusi ila wanatafsiri, kiasi inakata ila sio mbaya.
Hii interview nilikuwa naisubiri kwa hamu, niliisoma tu juujuu Al Jzazeera juzi ilikuwa bado haijaruka hewani, ngoja niicheki.
B... unakumbuka nilikwambia hii? Mdakuzi
Give examples pleaseKuwa CIA sio kosa kwa sababu yeye ni mmarekani mbona waandishi wa habari wengi wa Tanzania ni usalama hata wapinzani wengi tu ni usalama
Hakuna pahala niliposema nikosa, lakini Tucker alikataliwa kujiunga, Sasa Putin anamwambia Tucker kama alitaka kujiunga akakataliwa, Tucker anaonekana kustaajabu kama kumbe Jamaa anajua.
Subtitles muhimu, ziko on mwanzo mwisho.Weka option ya subtitles inakua bora zaidi . Maana hizi lugha zilikuja na meli Kwa sisi tuliosoma st Kayumba inakua vizuri zaidi.
Puttin anaongea English vizuri tu hila mhuni tu huyo mzee anataka kuchosha watuIko kwa lugha gani sasa,,,Putin anaongeaga English kweli?