Tucker, mtangangazaji aliyemhoji Putin alipigwa na butwaa baada ya Putin kumpa taarifa zake za kutaka kujiunga na CIA

Tucker, mtangangazaji aliyemhoji Putin alipigwa na butwaa baada ya Putin kumpa taarifa zake za kutaka kujiunga na CIA

Kuwa CIA sio kosa kwa sababu yeye ni mmarekani mbona waandishi wa habari wengi wa Tanzania ni usalama hata wapinzani wengi tu ni usalama
Hujaambiwa kuwa CIA ni kosa. Putin kamchana live kwamba dogo upo kwenye payroll aone namna gani Putin alivyo na mkono mrefu kwenye system kabla ya haya nani aliyekuwa anajua?! Huyo dogo ni undercover?! Angekuhoji wewe ungekuwa unabwata tu mkuu. Unauza ramani za. Vifa..Hahahaha
 
Inaonekana ndani ya CIA kuna maajent wa Russia!
Hata hivyo Putin mwenyewe alikuwa Intelligent Ofisa wa KGB shirika la kijasusi la USSR akifanyia kazi East Germany.
Mwisho nataka kuamini huenda huyo mwandishi wa habari ni ajent wa Russia!
 
Kuwa CIA sio kosa kwa sababu yeye ni mmarekani mbona waandishi wa habari wengi wa Tanzania ni usalama hata wapinzani wengi tu ni usalama
Ukiachana na usalama wa taifa hivi kuna usalama wa Dunia??
 
Hujaambiwa kuwa CIA ni kosa. Putin kamchana live kwamba dogo upo kwenye payroll aone namna gani Putin alivyo na mkono mrefu kwenye system kabla ya haya nani aliyekuwa anajua?! Huyo dogo ni undercover?! Angekuhoji wewe ungekuwa unabwata tu mkuu. Unauza ramani za. Vifa..Hahahaha
Huyo "dogo" Tucker ni kijana wa propoganda wa Putin kwa muda mrefu sana ndani ya Marekani, hapo walikuwa wanataniana na kupiga soga tu na Putin. Waandishi wa habari halisi na wa kweli kama Evan Gershkovich wanakamatwa na kutupwa lupango na Kremlin.
 
Hakuna pahala niliposema nikosa, lakini Tucker alikataliwa kujiunga, Sasa Putin anamwambia Tucker kama alitaka kujiunga akakataliwa, Tucker anaonekana kustaajabu kama kumbe Jamaa anajua.
Kwa nini Tucker ashangae wakati hiyo sio siri?! Tucker kukataliwa kujiunga CIA ni habari ya wazi iliyo mtandaoni kwa zaidi ya mitano sasa
 
Ulaya wapuuzi sana wanajifanya wakali kwenye nchi masikini kuwa wanataka kuona uhutu wa habari lakini kwao ni kinyume hawataki kumuona Tucker, Ulaya.
😂
 
Ulaya wapuuzi sana wanajifanya wakali kwenye nchi masikini kuwa wanataka kuona uhutu wa habari lakini kwao ni kinyume hawataki kumuona Tucker, Ulaya.
[emoji23]
Wapuuzi sana hawa hizi nchi , ndio yale yale ya James Manning , Julian Assange , Edward Snowden nk
Ni washenzi haswa na ukizubaa wanakuoa roho kweli ....
Huwa wanatabia mbaya ya kusupress ukweli
 
Mfano Julian Assange , kosa lake lilikuwa ni kuexpose ushenzi wa jeshi la Marekani na CiA kwenye kufanya mauaji ya raia wasio na hatia kule Iraq
 
Edward Snowden kosa lake lilikuwa ni kuexpose umafia wa serikali ,jeshi na CIA kwenye ukiukaji wa haki za raia kwa kufanya surveillance kupitia mifumo ya mawasiliano , corruption na ushenzi wa military industrial complex kwenye kutengeneza na kufaidika kutokana na vita duniani
 
Hakuna pahala niliposema nikosa, lakini Tucker alikataliwa kujiunga, Sasa Putin anamwambia Tucker kama alitaka kujiunga akakataliwa, Tucker anaonekana kustaajabu kama kumbe Jamaa anajua.
Ila mkuu kwa wenzetu ajira kwenye hizi taasisi iko wazi sana, wanaweka hadi kwenye website zao sidhani kama ilikuwa ngumu kujua ukiangalia na hali ilivyo sasa hivi kwa Russia na Putin, mpaka kupata hii interview lazima vetting ndefu sana mwandishi alifanyiwa na KGB.
 
Russian President Putin:

95% of the terrorist incidents occurring in the world are arranged by the CIA.
 
Huyo "dogo" Tucker ni kijana wa propoganda wa Putin kwa muda mrefu sana ndani ya Marekani, hapo walikuwa wanataniana na kupiga soga tu na Putin. Waandishi wa habari halisi na wa kweli kama Evan Gershkovich wanakamatwa na kutupwa lupango na Kremlin.
Waandishi wahabari wakweli kama Asenga J nao vipi?.
 
Ulaya wapuuzi sana wanajifanya wakali kwenye nchi masikini kuwa wanataka kuona uhutu wa habari lakini kwao ni kinyume hawataki kumuona Tucker, Ulaya.
[emoji23]
Tucker hajazuiwa popote Ulaya kufanya kazi zake, X/Twitter anakotumia kutangazia habari zake inapatikana Marekani na Ulaya bila kikwazo chochote ila X/Twitter haipatikani Urusi, imefungiwa na Putin.
 
Back
Top Bottom