maranguvillage
JF-Expert Member
- Sep 8, 2023
- 935
- 2,096
Hujaambiwa kuwa CIA ni kosa. Putin kamchana live kwamba dogo upo kwenye payroll aone namna gani Putin alivyo na mkono mrefu kwenye system kabla ya haya nani aliyekuwa anajua?! Huyo dogo ni undercover?! Angekuhoji wewe ungekuwa unabwata tu mkuu. Unauza ramani za. Vifa..HahahahaKuwa CIA sio kosa kwa sababu yeye ni mmarekani mbona waandishi wa habari wengi wa Tanzania ni usalama hata wapinzani wengi tu ni usalama