Tudadavue kauli hiiya Rais Samia: Polisi hongereni sana, nchi imetulia

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
"Nawapongeza jeshi la , polisi wanatekeleza mapendekezo ya tume, lakini wanatekeleza maelekezo yangu na kama mnavyoona pilikapilika za kisiasa zinaendelea, nchi imetulia kabisa. Polisi hongereni san sana sana... by Rais Samia

Maelekezo gani?
My take: Polisi wanashukiwa kutekeleza utekaji. Kweli ndicho anachowapongeza, kuteka, kuua watu, kupoteza watu?

Kauli hii ya Rais na Ukimya wa serikali kuhusu sativa unanipeleka kuamini vinginevyo

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…