Una maana gani , ukisema PREP, hiyo si ile unakunywa kabla? , je hii ya kunywa baada ya kufanya tendo na ukahisi hauko salama ambayo ni PEP je hiyo ni sahihi uki pewa ARVs?Acha ubahili ukitaka vya bure utapewa ARV Ukihonga utapata PREP
Ukipomba PEP wanakupa ARVS je unaufahamu wowote kama ni sahihi kupewa hizo dawa na kama PEP ndio ARV hizo hizo?ARV tena
Pole sana mkuu...😔Kumekuwa na hizi dawa za kupunguza wezekano wa kuambukizwa virusi vya HIV, ambazo ni PREP na PEP, je zinafanya kazi kwa asilimia ngapi?
Na mbona kwenye vituo vya afya wanatoa hizi PEP lakni ni dawa hizo hizo za ARVS, je ni sahihi kwa kufanya hivyo? Na je, kama umekutana na mtu mwenye maambukizi na aka kuambukiza ukatumia kwa mwizi mmoja hizo dawa.
Je, kuna uwezekano wa Virusi kuonekana kwnye vipimo wakati unatumia hizo dawa au kwavile uko kwnye dawa kwa mwenzi mmoja, 30 days havita onekana?
Sichezi ovyo,Nina chenga kama za Marehemu PeleUkipomba PEP wanakupa ARVS je unaufahamu wowote kama ni sahihi kupewa hizo dawa na kama PEP ndio ARV hizo hizo?
Utaua mtu kwa presha ujue...😂ARV tena
Nimeshangaa kweli 🥴Utaua mtu kwa presha ujue...😂
Mkuu, ebu mtieni moyo kijana pengine ili aanze kula vizuri, afanye mazoezi na apumzishe mwili wake...🤨Acha ubahili ukitaka vya bure utapewa ARV Ukihonga utapata PREP
Nauliza tuu ,je PEP ni ARV ,nadhani huja nielewa, sio kwamba wamepima wame kuta HIV na ndio waka amua kutoa ARV, suala ni kwamba ukiomba PEP dawa ambayo husaidia kupunguza kuambukizwa HIV unapo patwa na dharura , wao kituo cha Afa wanakupa ARV na kusema hizo ndio PEP sasa hapo ndio najiuliza ni sahihi kunywa ARV kama PEP au kuna PEPila zina baniwa? hilo ndio swali langu .Pole sana mkuu...😔
Sa sijui utafanyaje....😓
hakuna cha kuogopa watu wengi na wajua wana HIV na wako vizuri tuu , ila ni suala la kujikinga tuu sababu dharula imetokea .Utaua mtu kwa presha ujue...😂
Hakuna haja ya mtu kunitia Moyo , hakuna nilsilo lijua kuhusu HIV, ninachotaka tuu kujau hizi dawa zina tofauti au ni hizo hizoMkuu, ebu mtieni moyo kijana pengine ili aanze kula vizuri, afanye mazoezi na apumzishe mwili wake...🤨
Nasoma comments tuSichezi ovyo,Nina chenga kama za Marehemu Pele
Nini Kimekushangaza?Nimeshangaa kweli 🥴
Mi peku siitaki Bora kupima kwanzaNasoma comments tu
ARV asubuhi asubuhiNini Kimekushangaza?
Subutuu......Mi peku siitaki Bora kupima kwanza
Hata ivo nimeokoka ivo hii ni Kinga toshaSubutuu......