Hiyo kweli kupata majibu humu ni shida sana sante nitakwenda hukoMkuu kupata majibu humu inakuwa shida. Nenda kituo cha tia cha karibu yako uliza kila swali. Kwakuwa ukisema ARV ni broad word kwa sababu dawa zote zinazotumika kwa ajili ya HIV ni ARV including na hizo Prep na Pep also na hizo a walio na maambukizi tayar, issue ni namna ya utendaji kazi wa kila dawa.
Wewe sio Mwafrika?? Wewe huyu huyuMwaafrika anazaa kama panya. Mliukataa mpango wa uzazi kwa majira mlioletewa na wazungu mkaamuliwa mpunguzwe tu kwa vyovyote vile.
Lazima mfe kwa haraka mkipenda msipende. Ushahidi:
Unazungumzia Uislam au USA? Mbona unalinginisha vitu tofauti? US hakuna waislam??Usalama na amani upo kwenye Uislam pekee.
Leo huko USA wale tuliokuwa tunawaona wa maana wanaanikwa siri zao.
Ushetani mtupu.
PREP na PEP sio dawa ni maneno wanayotumia kukupa dawa kulingana na hali yako, kama umeshafanya zinaa ama ndio unaenda kuzini. Hizi kimsingi ni ARVs na ufanyaji wake wa kazi uko hivi;Ukipomba PEP wanakupa ARVS je unaufahamu wowote kama ni sahihi kupewa hizo dawa na kama PEP ndio ARV hizo hizo?
Usalama na amani upo kwenye Uislam pekee.
Leo huko USA wale tuliokuwa tunawaona wa maana wanaanikwa siri zao.
Ushetani mtupu.
Unaweza ukathibitisha vipi kwamba umepewa ARV's na sio PEP..??Nauliza tuu ,je PEP ni ARV ,nadhani huja nielewa, sio kwamba wamepima wame kuta HIV na ndio waka amua kutoa ARV, suala ni kwamba ukiomba PEP dawa ambayo husaidia kupunguza kuambukizwa HIV unapo patwa na dharura , wao kituo cha Afa wanakupa ARV na kusema hizo ndio PEP sasa hapo ndio najiuliza ni sahihi kunywa ARV kama PEP au kuna PEPila zina baniwa? hilo ndio swali langu .
Nikweli mkuu, usiogope maana wapambanaji skuzote tunasema ajali kazini..😊hakuna cha kuogopa watu wengi na wajua wana HIV na wako vizuri tuu , ila ni suala la kujikinga tuu sababu dharula imetokea .
Asante sana , Kma umetumai PEP zaidi ya maratatu na mara zote uitumia tuu na hizo dharula hakuna aliye na vizuri je ukakutana na mtu mwenye virusi je kuna uwezekano PEP isifanye kazi sababu ume sha tumia sana ?PREP na PEP sio dawa ni maneno wanayotumia kukupa dawa kulingana na hali yako, kama umeshafanya zinaa ama ndio unaenda kuzini. Hizi kimsingi ni ARVs na ufanyaji wake wa kazi uko hivi;
Virusi wanapoingia mwilini wanatumia saa 72 kuweza kuweka kambi na kuanza kushambulia, kabla ya kuweka kambi hawawezi kushambulia wala kujilinda hivyo unavyokunywa PEP baada ya kuzini una wa ambush hivyo wanakosa nguvu ya kuendelea na safari, waki freeze mwili unawaweka katika kundi la takamwili na kuwa dump pale unapofanya secretion zake.
PREP hii unakunywa kabla ya kuzini na ufanyaji wake wa kazi ni kuua wadudu pindi waingiapo tu, tofauti na PEP ambayo inaua wadudu ambao washaingia so ukikosea dozi kidogo tu chuma unacho. PREP ina guarantee kubwa kwani mwili unakuwa umejiwekea kinga.
Kama umewahi sikia mtu kazini na mgonjwa kwa miaka 3 au zaidi na wakipima hana maambukizi ni kwa sababu mgonjwa anazingatia dawa hivyo virusi vyake vinakuwa havijiwezi sana.
NAKUMBUSHA: PREP na PEP sio dawa ni terminology zinazotumika kutoa dawa ambazo kimsingi ni ARVs. ukitumia PEP zaidi ya mara 3 halafu ukaja ukanada virusi uwezekano wa kutumia ARVs kurefusha maisha unakuwa kidogo sana kwani hazitakusaidia kwa sababu tayari virusi vishakuwa na uzoefu nazo na jinsi ya kuziepuka. Mgonjwa anaeacha dozi akirudi hapewi dawa alizoacha wanambadilishia kwa maana virusi wanaposhambuliwa sana na kuzoofu pindi utapoacha dawa wanabadili muundo wao ukinywa tena ile dawa haiwafanyi kitu.
Maelezo ni mengi ila natumai itasaidia kama una swali uliza kwenye WhatsAspp yangu.
Mbona unaandika huku unatetemeka mkuu....!!😧Asante sana , Kma umetumai PEP zaidi ya maratatu na mara zote uitumia tuu na hizo dharula hakuna aliye na vizuri je ukakutana na mtu mwenye virusi je kuna uwezekano PEP isifanye kazi sababu ume sha tumia sana ?
Sasa itakusaidia nini kama na tetemeka au si tetemeki? jibu kama una ufahamu wa hili suala .Mbona unaandika huku unatetemeka mkuu....!!😧