Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

Kifupi uwezi enjoy sex na hayo makitu aisee...nishatumia mara mbili hivi baada ya ushawishi wa washkaji..unakuwa ka robot unatafuta goli upati sa mapenzi gani hayo..rahaa ya sex kukojoa banaa...
Dah mtihani kwel Ila mwanamke si anakuwa anaenjoy au
 
Dahh asante sana mkuu hii Formula yako walau imejaribu kunitia moyo kwa kiwango fulani. Nitajitajitahidi niijaribu huenda ikanifaa kwa kweli napata fedheha sana kiasi kwamba mahusiano yangu yapo hatarini..
Ilikua bado muda mdogo sana nianze kuwa mfuasi wa hili jambo la mkongo kwakwel nilikua nishachoka masimango[emoji29]acha nianze hii tiba ndugu yangu..

Mkuu shida yako kama yangu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sizani aisee...mie wangu alidai namuumiza mbona sikojoii...kifupi hayo makitu sio bro
Duh hakukustukia kama sio kawaida yako kwel..
Au ilikua ndo umekutana nae first time.
 
Duh hakukustukia kama sio kawaida yako kwel..
Au ilikua ndo umekutana nae first time.
Wako wa kila siku lazima ashtukie bro...coz unatakuwa unastrago snaa kumaliza...yangu ilikuwa mechi ya ugenini...kama unapenda kukomoa bila kuonjoy tumia hayo makitu but kama unataka kuinjoy aosee achana nayo...
 
Wako wa kila siku lazima ashtukie bro...coz unatakuwa unastrago snaa kumaliza...yangu ilikuwa mechi ya ugenini...kama unapenda kukomoa bila kuonjoy tumia hayo makitu but kama unataka kuinjoy aosee achana nayo...
Shukrani sana mkuu.. Mimi nimeoa bwana nafikiri haitakua solution hiyo kwangu
Labda nikipata ya ugenini
 
Nyongeza, kunywa sana maji kabla ya tukio. Maandalizi yote ya mchezo yanaisha masaa mawili kabla kisha narelax wala sina papara kabisa wala sina woga.
Pia natumia sana maji nikiwa mchezoni, huwa natumia breki za kunywa maji. Lita na nusu hunitosha.
Kwahiyo nikienda mchezoni na lile kopo kubwa la lita 1.5 la Kilimanjaro litanisaidia sana!!

Vipi yawe baridi au yakawaida hayo maji mkuu?
 
Bwana Misitu wasiokua katika hali kama yako hawawezi lifahamu hilo tatizo. Binafsi nakaribia kuinua mikono nimeshindwa kubadilisha hali yangu, macho yangu yote yamebakia huko huko kwenye vumbi la kongo ila hofu yangu ni kama yako madhara yake bado sijayaelewa.
 
Kifupi uwezi enjoy sex na hayo makitu aisee...nishatumia mara mbili hivi baada ya ushawishi wa washkaji..unakuwa ka robot unatafuta goli upati sa mapenzi gani hayo..rahaa ya sex kukojoa banaa...

mkuu wenzio hatupo kwenye hali ya kuinjoy, tupo kwenye mazingira ya kulinda heshima tu tena, Hali ni mbaya haielezeki
 
mkuu wenzio hatupo kwenye hali ya kuinjoy, tupo kwenye mazingira ya kulinda heshima tu tena, Hali ni mbaya haielezeki
Basi pambaneni mkuu...muwe tayar kuumwa na vichwa,vichwa vya mb*** kuwaka moto na mengije mengi...
 
Shukrani sana mkuu.. Mimi nimeoa bwana nafikiri haitakua solution hiyo kwangu
Labda nikipata ya ugenini
Mkuu pole sna,best way ni mazoez na usizidishe kiwango pia utachoka sana au siku unagame ndo unaenda Fanya mazoez utatia aibu.

Nguvu za kiume hua zinaanzia miguuni na mapajani kwa uzoefu wangu m nlipata tatzo kama lako na sio kila zoez Fanya haya ma3 at least marambili kwa week gym.

1.weight squat(barbell)

2.front squat

3.lunge
Jiwekee uziito unaojiweza
Kimbia hata Mara 3 kwa week
Badili vyakula mkuu soda chips na sukari punguza
Ongeza asali, karanga vitunguu swaumu na tangawizi baada ya mwez utaona utofauti balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@Bwana Misitu na wewe hapa.
Nadhani vumbi si salama maana nilisikia kama moto unawaka kwenye kichwa cha ***. Nilikaa masaa kadhaa nikiwa sihisi usawa. Pia inasababisha damu isiende sana wakati wa matumizi maana kadri ya unavosisimka ndivyo damu inajaa, kwahiyo kama kuna ganzi hupati msisimko uleule na hivyo utachelewa tu...

Mkuu binfasi mimi nimekaribia kumaliza gunia la karanga mbichi, ila sijawah pata uafueni wowote
 
hayo ndio ninayotaka kuelewa hayo madhara mutupe uzoefu wenu
Hayo ndo nilio ona mkuu kwa mara hizo mbili nilizotumia...mara ya kwanza mshkaji aliniambia labda umezidisha,nikapunguza issue ikawa ile ile nikaona isiwe tabu nikatupa kule....but yeye anainjoy bado anatumia.
 
Basi pambaneni mkuu...muwe tayar kuumwa na vichwa,vichwa vya mb*** kuwaka moto na mengije mengi...

kwaiyo ulimuwa kichwa mkuu?

Na hicho kichwa cha mb… kiliwaka moto mazingira gani na kwa mda gani?
 
Mkuu pole sna,best way ni mazoez na usizidishe kiwango pia utachoka sana au siku unagame ndo unaenda Fanya mazoez utatia aibu
Nguvu za kiume hua zinaanzia miguuni na mapajani kwa uzoefu wangu m nlipata tatzo kama lako na sio kila zoez Fanya haya ma3 at least marambili kwa week gym
1.weight squat(barbell)
2.front squat...

Mkuu ushauri wako mzuri sana nami ntaanza baada ya ramadhani ila tangawiz itanishinda na vidonda vya tumbo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom