Tuelezwe Rais Samia ametumia kiasi gani kwenda Korea kusini

Tuelezwe Rais Samia ametumia kiasi gani kwenda Korea kusini

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Wakuu bila kipotwza Muda

Ni week imepita toka William ruto, rais was Kenya kufanya ziara Marekani na kelele kubwa ilisikika baada ya rais kutumbua Kia's kikubwa cha pesa za walipa Kodi

Basi huku kwetu nako Tanganyika rais wetu amekwenda ziara ya siku sita mjini Seul pmj Na wajumbe wake wako pia wasanii wa filamu ambao wameambatana naye

Sasa tunataka kujuwa Ni Kia's gani imetumika kwas ziara hyo. Maisha yamekuwa magumu bongo huku dollars imekuwa adimu Sasa HV inapatikana kimagendo gendo ,,ukitaka kupata dollars Basi lzm uwe na connection kubwa snaa

Kuna sagment huwa kwenye ibada zetu za kuwaombe viongozi wa nchi ,kwa Kweli niwe mkkweli siwaombeagi kbsa snaa nitaombee taifa tu Ila viongozi hpn kwakweli.

Pia soma:
 
Basi tuelezweeee Kia's gani imetumikaaapmj na mkopo kupatina ila je ninkias gani imetymiaa
Yaani shida zooote zinakwenda kuisha mkuu, mama anatupambania usiku na mchana..... hajali hata ndoa yake.
 
Kupata PhD ya chap chap na mkopo wa Kujenga Hosptali ya Muhimbili ni faida kubwa sana.
 
Wakuu bila kipotwza Muda

Ni week imepita toka William ruto, rais was Kenya kufanya ziara Marekani na kelele kubwa ilisikika baada ya rais kutumbua Kia's kikubwa cha pesa za walipa Kodi

Basi huku kwetu nako Tanganyika rais wetu amekwenda ziara ya siku sita mjini Seul pmj Na wajumbe wake wako pia wasanii wa filamu ambao wameambatana naye

Sasa tunataka kujuwa Ni Kia's gani imetumika kwas ziara hyo. Maisha yamekuwa magumu bongo huku dollars imekuwa adimu Sasa HV inapatikana kimagendo gendo ,,ukitaka kupata dollars Basi lzm uwe na connection kubwa snaa

Kuna sagment huwa kwenye ibada zetu za kuwaombe viongozi wa nchi ,kwa Kweli niwe mkkweli siwaombeagi kbsa snaa nitaombee taifa tu Ila viongozi hpn kwakweli.

Pia soma:
Maza anapiga pesa za wajinga kwanza
 
Mama ametupatia mihela ya mkopo kutoka Korea, mabilioni ya dolari.... $2.5B!

Tunakopa halafu tunaenda kununua tiketi tukakope tena. Amazing. Tuanze kufikiria kuujenga uchumi wa nishati ya gas na madini.
Mikopo hii sio suluhisho la kupata maendeleo ya kweli
 
Back
Top Bottom