Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,996
- 6,290
Hahahaha walishaila buku tatu yangu najutia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe haustahili kumsema wala kumcheka kijana anayeungua na jua kwenda kubet kwa muhindiNimeshiriki mchezo huu, na niliposhiriki wamekuwa wakinitumia msg zao za kunihamasisha nishiriki au msg za kutangaza washindi wao, Cha ajabu ni hizi msg mbili za kutangaza washindi hebu angalieni namba za simu za washindi! View attachment 533320
Hawa wexi ina maana buku anaweza pata 20m au ni zaidi ya buku? Unatuma buku unaambiwa ongeza kucheza. Voda hawakubali kufuliliza kutuma buku baada ya buku! Nilijaribu kwa kushawishiwa na Mpoki hadi leo nimeliwa laki na 20 no Biko. Waipe tu hiyo namba kila Tamu na Dili Mimi tena Noooooo.Nimeshiriki mchezo huu, na niliposhiriki wamekuwa wakinitumia msg zao za kunihamasisha nishiriki au msg za kutangaza washindi wao, Cha ajabu ni hizi msg mbili za kutangaza washindi hebu angalieni namba za simu za washindi! View attachment 533320