Kwa awamu hii ya Magufuli yenye ukata,makampuni haya ya bahati nasibu yatapata sana wateja!
Watu wamechacha mifukoni kiasi kwamba hata hicho kidogo kilichobaki kitaishia kwenye makapu ya:BIKO,HAYATELE,M-BET,BETWAY et al,ili waweze kubahatisha mamilioni,but as usual,only 1% out 99% wins,the rest get kicked in the a**!