Tuelimishane Quran

Quran 5:47 fafanuzi ((sisi tuliwaamrisha
wafuasi wa issa watu wa injili wakristo..))

Hapa tu ulipoanza umeshajipotosha mwenyewe! "Watu wa injili" sio wakristo. Injili ilikuwa ya issa ibn maryam.
Sema Quran sio mimi
 
Qur'an si kitaba cha mana, ukikifuata utapotoka tu na kuanza kufuga majini au kuwaombea wenzako laana na majanga, huku wewe mwenyewe ukiwa huna lolote la maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…