Tuelimishane Quran

Tuelimishane Quran

Quran 5:47 fafanuzi ((sisi tuliwaamrisha
wafuasi wa issa watu wa injili wakristo..))

Hapa tu ulipoanza umeshajipotosha mwenyewe! "Watu wa injili" sio wakristo. Injili ilikuwa ya issa ibn maryam.
Sema Quran sio mimi
 
Quran 5:47 fafanuzi ((sisi tuliwaamrisha
wafuasi wa issa watu wa injili wakristo..))

Issa ni muislamu inakuaje wafuasi wake ni wakristo?.

Quran 2;121 Allah anasema eti aliwapa watu wa kitab injil na zabur na torat.

Watu wa kitab ni wakina nani?.

Quran 4:171 Allah anawambia watu wa kitaab wasipindukie mipaka katika DINI yao.

Kuna Dini zaidi ya muislam?.

Tuelimishane ndugu zangu
Qur'an si kitaba cha mana, ukikifuata utapotoka tu na kuanza kufuga majini au kuwaombea wenzako laana na majanga, huku wewe mwenyewe ukiwa huna lolote la maana.
 
Back
Top Bottom