Tuelimishane Quran

Tuelimishane Quran

Bullshit

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,357
Reaction score
1,596
Quran 5:47 fafanuzi ((sisi tuliwaamrisha
wafuasi wa issa watu wa injili wakristo..))

Issa ni muislamu inakuaje wafuasi wake ni wakristo?.

Quran 2;121 Allah anasema eti aliwapa watu wa kitab injil na zabur na torat.

Watu wa kitab ni wakina nani?.

Quran 4:171 Allah anawambia watu wa kitaab wasipindukie mipaka katika DINI yao.

Kuna Dini zaidi ya muislam?.

Tuelimishane ndugu zangu
 
Quran ni kitabu kinachoomba mtu anayekiamini akiwa haelewi mambo aombe msaada kwa walioshushiwa bitabu kabla yake ambao ni wafuasi wa maandiko matakatifu mwanzo hadi ufunuo.

Ubishi ndio unasababisha wateswe na majini. Wangetuelewa majini yote ni mashetwain wangefika mbali.
 
yaan maisha bhana..... tupo bize kubishana kuhusu dini kuliko kumtafuta mungu... amin amin nawaambia kama huna upendo basi hata uwe na uwezo wa kuhamisha milima, wewe si kitu kwa mungu...
 
Dini hozo Zote mbili ni project ya vatican usijipe presha
 
yaan maisha bhana..... tupo bize kubishana kuhusu dini kuliko kumtafuta mungu... amin amin nawaambia kama huna upendo basi hata uwe na uwezo wa kuhamisha milima, wewe si kitu kwa mungu...
Tunaelimishana mkuu
 
Mimi nitajibu nayoyajua tu
Kuna dini nyingi sana mkuu. Kabla ya ukrisro kulikuwako na dini,na kabla ya uislamu kulikuwako na dini.
Kiufupi dini zipo zaidi ya 10
 
Quran 5:47 fafanuzi ((sisi tuliwaamrisha
wafuasi wa issa watu wa injili wakristo..))

Issa ni muislamu inakuaje wafuasi wake ni wakristo?.

Quran 2;121 Allah anasema eti aliwapa watu wa kitab injil na zabur na torat.

Watu wa kitab ni wakina nani?.

Quran 4:171 Allah anawambia watu wa kitaab wasipindukie mipaka katika DINI yao.

Kuna Dini zaidi ya muislam?.

Tuelimishane ndugu zangu
Imani za kigeni zisitusumbue, tuwaachie wao
 
Quran ni kitabu kinachoomba mtu anayekiamini akiwa haelewi mambo aombe msaada kwa walioshushiwa bitabu kabla yake ambao ni wafuasi wa maandiko matakatifu mwanzo hadi ufunuo.

Ubishi ndio unasababisha wateswe na majini. Wangetuelewa majini yote ni mashetwain wangefika mbali.

Haya yanayowashughulisha akina 'Gwajiboi endi kampani' ULtd) yanawafikisha wapi na yapo ndani ya nyumba (Mnazoaamini) kuwa ni za Ibada?
 
Watu wa musa walipewa taurati,watu wa daudi walipewa zaburi ,watu wa issa walipewa injili. .lakini wakayaharibu hayo maandiko kwa kuongeza na kupunguza wasiyoyataka
Kuongeza na kupunguza wao ndo wanasema katika vitabu vyao au ni mawazo ya Dini nyingine.
 
Mimi nitajibu nayoyajua tu
Kuna dini nyingi sana mkuu. Kabla ya ukrisro kulikuwako na dini,na kabla ya uislamu kulikuwako na dini.
Kiufupi dini zipo zaidi ya 10
wale mitume walikuwa wa Dini gani kama zilikuwepo nyingi?.
 
Back
Top Bottom