Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Duh kwahio haya mambo ya uhaba wa Mvua na Ukame ni mambo mageni ? , Kwamba Mvua na hizi tabia nchi sio za kutegemea ?, Kwanini Serikali isijitayarishe for the worse ?!!!
Ndugu yangu, unakuwa kama huijui serikali yetu ya mavieitiiii...
Inachoweza kukuhakishia wewe ni kukupiga tu siasa za "tunajenga mazingira ya kilimo tija...", "tunatoa mwanya kwa wakulima....", "tutatoa ruzuku..." n.k