Tuendako hali inatisha. Sasa maharage yanakimbilia kilo moja elfu 4 (4,000)

Duh kwahio haya mambo ya uhaba wa Mvua na Ukame ni mambo mageni ? , Kwamba Mvua na hizi tabia nchi sio za kutegemea ?, Kwanini Serikali isijitayarishe for the worse ?!!!

Ndugu yangu, unakuwa kama huijui serikali yetu ya mavieitiiii...

Inachoweza kukuhakishia wewe ni kukupiga tu siasa za "tunajenga mazingira ya kilimo tija...", "tunatoa mwanya kwa wakulima....", "tutatoa ruzuku..." n.k
 
Utakuwa unakosea sana
 
Thought 👏👏
 
Baazi ndo nini?! Hivi mlisoma Shule gani ninyi vila.za?! Ni Baadhi✓
 
Kulima kwenyewe mbolea bei juu, waiivisha walanguzi wanaenda kulangua unazani nguvu tena zinatoka wapi? Vijana nao wanakimbilia mjini kutembeza karanga ,mara soksi unazani analima nani huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo mboga za majani hakuna ni adimu,
Na hapo unakuta mtu nyumbani kwake ana bustani ya maua na anamwagilia daily badala ya kupanda mchicha, bamia, bilinganya au spinach.
 
Nimempa ushauri afanye option nyingine zaidi ya maharage sababu zipo mboga bei nafuu zaidi ya maharage...
Mchicha fungu mia tatu, bamia fungu mia tano, dagaa robo kilo elfu mbili,tena hizi unakula hata siku tatu kama unapiga mix ya dagaa, mchicha, bamia, nyanya Chungu na mazaga zaga mengine.
 
Kuna ambao tunapenda maharage. Options zipo lakini kupanda kwa bei lazima kusemwe.
Je na hizo Options nyingine zikipanda bei itakuaje? Kila chakula kina umuhimu wake
Option ni kila mtu mwenye walau kieneo kidogo alime bustani ndogo, na wengine wenye uwezo walime mashamba nje ya miji wanakoishi. Huu muda wa kwenda gym [emoji3571] au ma bonanza watu wautumie kwenda kibaha, Mkuranga na kwingineko watafute mashamba walime jamani.
 
... kuna mtu ana watoto 10 na wake wanne karne hii? Kuna mahali pana biashara ya kuuza watoto?
Umewahi kufika kwenye vijiji walipo wasukuma huko Katavi mkuu? Hao 10 ni kidogo
 
Yote haya, tunayataka sisi wenyewe watanzania, na bado, hali itakuwa tete zaidi ya hii.
 
Wote tukilima kazi nyingine nani atafanya? 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…