Tuendelee kumhusisha hayati Magufuli ripoti ya CAG

Tuendelee kumhusisha hayati Magufuli ripoti ya CAG

misasa

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2014
Posts
14,244
Reaction score
10,073
IMG_20230410_150425.jpg
 
Ndio wanazichota sasa kwa raha zao
Ingawa walikuwa wanaiba wote ila alikemea kututoa kwenye reli

Ila baada ya kifo chake ndio wakashangilia zaidi kwa kuiba yaani mpaka muweka hazina mwenyewe anaiba
Wanaleta tume za kijuchunguza
 
Hakuna atakayeishi milele lakini ukiona mtu anakufa kisha watu wanashangilia jiulize sana. Mkapa na nyerere hayakutokea haya kwann yeye?
Kwa hiyo ulivyoshangilia wewe, basi ukajua Watanzania wote tulishangilia?!
Hebu jaribu kuchukua muda wako uangalie mazishi ya hao viongozi wetu uliowataja halafu utagundua kwamba hiki ulichokisema ni uongo.
Hayati JPM alipendwa sana kuliko alivyochukiwa.
Kumbuka Binadamu huwezi kupendwa na watu wote. Hata wewe hapo siku ukifa, tupo tutakaoshangilia, nikiwemo mimi!
 
Back
Top Bottom