Tuendelee kumhusisha hayati Magufuli ripoti ya CAG

Tuendelee kumhusisha hayati Magufuli ripoti ya CAG

Inawezekana' aliharibu yako kwa kuwa haukuwa mkamilifu.Na Kama unasema aliharibu ya wengi kuliko wachache weka data na statistics validity to prove your argument.Unless otherwise acha uongo na kupotosha.
Wewe kama kwenu Magufuri alifanya vizuri na ukanda wenu ndiyo una wasomi halali na hodari basi mshukuru Mungu kwa sababu sehemu nyingine alivuruga na kuvurunda vibaya.Na angetawala miaka aliyokuwa anatamani basi Tanzania ingekuwa nchi ya mwisho kimaendeleo ukanda huu.
 
Wewe kama kwenu Magufuri alifanya vizuri na ukanda wenu ndiyo una wasomi halali na hodari basi mshukuru Mungu kwa sababu sehemu nyingine alivuruga na kuvurunda vibaya.Na angetawala miaka aliyokuwa anatamani basi Tanzania ingekuwa nchi ya mwisho kimaendeleo ukanda huu.
Kwa hiyo haya maendeleo tunayoyaona kama ,ununuzi wa meli,ujenz wa hospitali,stand masoko makubwa,uanzidhwaji wa control number kudhibiti upotevu wa pesa ,kudhibiti ujambaz ,fly over Dsm ,ujenz wa bwawa la Nyerere ,kufichua wafanyakazi fake.Ww unaona sio maendeleo kabisa.Mbona waliopita au aliyepo hajafanya la maana ila tunamsifia tu.Chawa wengi Kama dawa.
 
Inawezekana' aliharibu yako kwa kuwa haukuwa mkamilifu.Na Kama unasema aliharibu ya wengi kuliko wachache weka data na statistics validity to prove your argument.Unless otherwise acha uongo na kupotosha.
Wewe kama kwenu Magufuri alifanya vizuri na ukanda wenu ndiyo una wasomi halali na hodari basi mshukuru Mungu kwa sababu sehemu nyingine alivuruga na kuvurunda vibaya.Na angetawala miaka aliyokuwa anatamani basi Tanzania ingekuwa nchi ya mwisho kimaendeleo ukanda huu.
Kwa hiyo haya maendeleo tunayoyaona kama ,ununuzi wa meli,ujenz wa hospitali,stand masoko makubwa,uanzidhwaji wa control number kudhibiti upotevu wa pesa ,kudhibiti ujambaz ,fly over Dsm ,ujenz wa bwawa la Nyerere ,kufichua wafanyakazi fake.Ww unaona sio maendeleo kabisa.Mbona waliopita au aliyepo hajafanya la maana ila tunamsifia tu.Chawa wengi Kama dawa.
Wafanyakazi feki hawakuwepo mbona hatukusikia wafanyakazi fake idara ya Jeshi,Uhamiaji,Usalama wa Taifa na Polisi?
 
Wewe kama kwenu Magufuri alifanya vizuri na ukanda wenu ndiyo una wasomi halali na hodari basi mshukuru Mungu kwa sababu sehemu nyingine alivuruga na kuvurunda vibaya.Na angetawala miaka aliyokuwa anatamani basi Tanzania ingekuwa nchi ya mwisho kimaendeleo ukanda huu.

Wafanyakazi feki hawakuwepo mbona hatukusikia wafanyakazi fake idara ya Jeshi,Uhamiaji,Usalama wa Taifa na Polisi?
Hata Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya hatukusikia Wafanyakazi fake?
 
Back
Top Bottom