Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Assad alikosa kazi ujue1.5trillion za watanzania ziko wapi?
Alizipitia jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Assad alikosa kazi ujue1.5trillion za watanzania ziko wapi?
ArafuyeeeYuko wapi sasa?
Hakika taifa sasa lipo mikono salamaKwa hiyo ulivyoshangilia wewe, basi ukajua Watanzania wote tulishangilia?!
Hebu jaribu kuchukua muda wako uangalie mazishi ya hao viongozi wetu uliowataja halafu utagundua kwamba hiki ulichokisema ni uongo.
Hayati JPM alipendwa sana kuliko alivyochukiwa.
Kumbuka Binadamu huwezi kupendwa na watu wote. Hata wewe hapo siku ukifa, tupo tutakaoshangilia, nikiwemo mimi!
Kwishaaaa sukuma gangWewe mwenye roho nzuri ubarikiwe na utaishi milele
Kayafa kayafa kayafaBasi utaishi milele
Tuseme Ameen
Arafuuye chane chaaneArafuyeee
Yule ndiyo alikuwa fisadi nambari mojaAssad alikosa kazi ujue
Alizipitia jamaa
Inawezekana' aliharibu yako kwa kuwa haukuwa mkamilifu.Na Kama unasema aliharibu ya wengi kuliko wachache weka data na statistics validity to prove your argument.Unless otherwise acha uongo na kupotosha.Wewe siyo kila mtu ana vyeti vya kufoji!
Kwamba ati watu walichukia tu kwasababu walitumbuliwa hapana. Yule alipoteza na kuharibu maisha ya watu wengi sana. Sizungumzii wa chato nazungumzia watanzania
We hizo statistic za kwako ziko wapi? Mm nakupa sample ya watumishi wa umma tu. Ongea na japo 10 wulize kama hutapata jibuInawezekana' aliharibu yako kwa kuwa haukuwa mkamilifu.Na Kama unasema aliharibu ya wengi kuliko wachache weka data na statistics validity to prove your argument.Unless otherwise acha uongo na kupotosha.
Ndio wanaishi mileleWatu wema hawafi mzee makamba
Ulivyoelewa ndo hivyohivyo lakini ujumbe ulikufikiaNdio wanaishi milele
Jiwe linapogeuka vumbiNdio wanaishi milele
Ahh.. My wife umeshanipikia?Jiwe linapogeuka vumbi
Anajua kabisa huyo sukuma gangUlivyoelewa ndo hivyohivyo lakini ujumbe ulikufikia
Nakuona unalalamika sungusungu walivyo kutoboaAhh.. My wife umeshanipikia?
Na hata Leo furaha Bado ipo? Sio kwa sababu amekufa ila kwa sababu utawala wake haupo tena.Mataahira yalichekelea kifo chake
Ahh.. My wife mambo haya tuachie sisi wanaume vinhinevyo ntakutwanga tarakaNakuona unalalamika sungusungu walivyo kutoboaView attachment 2583393
Umechanganyikiwa na bei ya sembeNa hata Leo furaha Bado ipo? Sio kwa sababu amekufa ila kwa sababu utawala wake haupo tena.
[emoji1][emoji1][emoji1]Arafuuye chane chaane
Watumishi wa umma na wasio watumishi wa umma wapi wengi?Nenda mtaani huko usikie jamaa anavyokumbukwa.Au fuatilia kwenye comments za You tube utasikia.Hao mafisadi wachache wanaomtukana JPM ndio nchi nzima.?We hizo statistic za kwako ziko wapi? Mm nakupa sample ya watumishi wa umma tu. Ongea na japo 10 wulize kama hutapata jibu