Tuendelee kumhusisha hayati Magufuli ripoti ya CAG

Tuendelee kumhusisha hayati Magufuli ripoti ya CAG

Kwa hiyo ulivyoshangilia wewe, basi ukajua Watanzania wote tulishangilia?!
Hebu jaribu kuchukua muda wako uangalie mazishi ya hao viongozi wetu uliowataja halafu utagundua kwamba hiki ulichokisema ni uongo.
Hayati JPM alipendwa sana kuliko alivyochukiwa.
Kumbuka Binadamu huwezi kupendwa na watu wote. Hata wewe hapo siku ukifa, tupo tutakaoshangilia, nikiwemo mimi!
Hakika taifa sasa lipo mikono salama
 
Wewe siyo kila mtu ana vyeti vya kufoji!
Kwamba ati watu walichukia tu kwasababu walitumbuliwa hapana. Yule alipoteza na kuharibu maisha ya watu wengi sana. Sizungumzii wa chato nazungumzia watanzania
Inawezekana' aliharibu yako kwa kuwa haukuwa mkamilifu.Na Kama unasema aliharibu ya wengi kuliko wachache weka data na statistics validity to prove your argument.Unless otherwise acha uongo na kupotosha.
 
Inawezekana' aliharibu yako kwa kuwa haukuwa mkamilifu.Na Kama unasema aliharibu ya wengi kuliko wachache weka data na statistics validity to prove your argument.Unless otherwise acha uongo na kupotosha.
We hizo statistic za kwako ziko wapi? Mm nakupa sample ya watumishi wa umma tu. Ongea na japo 10 wulize kama hutapata jibu
 
We hizo statistic za kwako ziko wapi? Mm nakupa sample ya watumishi wa umma tu. Ongea na japo 10 wulize kama hutapata jibu
Watumishi wa umma na wasio watumishi wa umma wapi wengi?Nenda mtaani huko usikie jamaa anavyokumbukwa.Au fuatilia kwenye comments za You tube utasikia.Hao mafisadi wachache wanaomtukana JPM ndio nchi nzima.?
 
Back
Top Bottom