johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe moyo wako mzima?Roho yake mbaya ndio iliyompa maradhi ya moyo.
Sina roho mbaya mie.Wewe mwenye roho nzuri ubarikiwe na utaishi milele
Juzi tu nimetoka kuupima dokta anasema umevimba kidogo sana kutokana na ile awamu ya ibilisi lakini unaanza kusinyaa inshalaa.Wewe moyo wako mzima?
Ni watu wote Tz walishangilia?Au majiz,mafisadi wakubwa,majambazi,vyama vya siasa vya kujaza tumbo,waliofoji vyeti,na uchafu wa kila aina.Hakuna atakayeishi milele lakini ukiona mtu anakufa kisha watu wanashangilia jiulize sana. Mkapa na nyerere hayakutokea haya kwann yeye?
Alitengeneza kupendwa siyo kwamba ilitokea tu mfno kulikuwa na magazeti yale ya kina Musiba yote yalimpambaKwa hiyo ulivyoshangilia wewe, basi ukajua Watanzania wote tulishangilia?!
Hebu jaribu kuchukua muda wako uangalie mazishi ya hao viongozi wetu uliowataja halafu utagundua kwamba hiki ulichokisema ni uongo.
Hayati JPM alipendwa sana kuliko alivyochukiwa.
Kumbuka Binadamu huwezi kupendwa na watu wote. Hata wewe hapo siku ukifa, tupo tutakaoshangilia, nikiwemo mimi!
Acheni kulumbana nduguKwa hiyo ulivyoshangilia wewe, basi ukajua Watanzania wote tulishangilia?!
Hebu jaribu kuchukua muda wako uangalie mazishi ya hao viongozi wetu uliowataja halafu utagundua kwamba hiki ulichokisema ni uongo.
Hayati JPM alipendwa sana kuliko alivyochukiwa.
Kumbuka Binadamu huwezi kupendwa na watu wote. Hata wewe hapo siku ukifa, tupo tutakaoshangilia, nikiwemo mimi!
Wewe siyo kila mtu ana vyeti vya kufoji!Ni watu wote Tz walishangilia?Au majiz,mafisadi wakubwa,majambazi,vyama vya siasa vya kujaza tumbo,waliofoji vyeti,na uchafu wa kila aina.
Hakuna jinsi, ni kweli yako ila za wizi hazina Baraka kabisa na mwisho wa siku wataziachaAcha waibe tu Mkuu..
Tutafanyaje sasa zaidi ya kuwashitaki kwa Mungu tu!
Upumbavu mtupu
Yuko wapi sasa?Waliomba sana afe
1.5trillion za watanzania ziko wapi?Ndio wanazichota sasa kwa raha zao
Ingawa walikuwa wanaiba wote ila alikemea kututoa kwenye reli
Ila baada ya kifo chake ndio wakashangilia zaidi kwa kuiba yaani mpaka muweka hazina mwenyewe anaiba
Ukiomba wewe inatoshaTumwombee ili azidi kuwa Mwema aishi milele
Kichekesho cha mwakaWanaleta tume za kijuchunguza
Taifa limeanza kutengemaaYule shetani ni bora katupisha.
Watakuelewa wachache sanaHakuna atakayeishi milele lakini ukiona mtu anakufa kisha watu wanashangilia jiulize sana. Mkapa na nyerere hayakutokea haya kwann yeye?
Hata mbuzi wengi walichinjwaHakika siku ile bia zilikwisha nilipokuwepo
Miradi yote iliyoguswa ni ya jiwe na sukuma gang wakeSi report ya juzi inawahusu wao wanasingizia hayati
Ninchofurahi ni kumuondoa kwanza yule sukuma gang wa trlWanaleta tume za kijuchunguza
Nani kabisha?Kila nafsi itaonja umahuti