Tuendeleeni tu na Hamasa ya kuujaza uwanja ila tayari kwa 90% RS Berkane wanamalizana na Victorien Adebayor

Tuendeleeni tu na Hamasa ya kuujaza uwanja ila tayari kwa 90% RS Berkane wanamalizana na Victorien Adebayor

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Nilidhani tuliposema tunamhitaji Victorien Adebayor tayari tumeshaanza harakati za kumpata matokeo yake RS Berkane wapo katika 90% ya kumpata na kuwa Mali yao rasmi.
 
Sisi tunamtaka kiukweli na Berkane wanamtaka, ila sisi hatuwezi kuifikia ofa ya Berkane, Simba bado kiuchumi kupambania mchezaji na timu za uarabuni au South Africa.

Ushauri mzuri kabisa Simba wawekeze kwenye scouting, hawa kina Adebayo wawapate kabla hawajaonekana na timu kubwa, timu kubwa waje kuwaona hapa hapa kwa Simba, itapiga pesa mingi saana.
 
Sisi tunamtaka kiukweli na berkane wanamtaka, ila sisi hatuwezi kuifikia ofa ya berkane, simba bado kiuchumi kupambania mchezaji na timu za uarabuni au south afrika.
Ushauri mzuri kabisa simba wawekeze kwenye scouting, hawa kina adebayo wawapate kabla hawajaonekana na timu kubwa, timu kubwa waje kuwaona hapa hapa kwa simba, itakoga pesa mingi saana.
Natamani mno huu ushauri wako mzuri na wa thamani Uongozi wa Simba SC uuone na uufanyie Kazi kwani umesema Ukweli mtupu.
 
Jamaa anapenda kuja Simba Sc ni kama Moses Phiri tu, labda kama Simba SC watataka kufanya ujinga wa kutaka kumsajili kwa maslahi kama ya kina Duchu.
 
Nilidhani tuliposema tunamhitaji Victorien Adebayor tayari tumeshaanza harakati za kumpata matokeo yake RS Berkane wapo katika 90% ya kumpata na kuwa Mali yao rasmi.
Kumbuka, hao Berkane waliweza kutoa fedha za kutosha kumnunua Chama kutoka kwetu. Hii maana yake ni kwamba ni klabu yenye fedha nyingi kuliko sisi. Kwa hiyo, pia kwa Adebayor kwenda Berkane kutokana na fedha alizowekewa mezani, inaweza kuwa ni kitu cha kawaida. Ila angeenda Zanaco, labda tungejiona wazembe.
 
Natamani mno huu Ushauri wako mzuri na wa thamani Uongozi wa Simba SC uuone na uufanyie Kazi kwani umesema Ukweli mtupu.
Ni kweli lakini ktk hili silaha kubwa ni UVUMILIVU na SUBRA, je washabiki wa mpira wana hiyo subra?huyu Banda tu walishaanza kumtukana na kutukana uongozi pia.....

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli lakini ktk hili silaha kubwa ni UVUMILIVU na SUBRA, je washabiki wa mpira wana hiyo subra?huyu Banda tu walishaanza kumtukana na kutukana uongozi pia.....

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Kwa Banda unakwenda mbali Mkuu, kwa Sakho wakati wa dirisha dogo ilibaki kidogo maandamano yaanzie Kimara Suka hadi Tandamti.
 
Nilitamani sana yule jamaa angekipiga unyamani.Ni aina ya mchezaji ambaye simba inamkosa.Simba ya sasa haina mchezaji mwenye spirit yakupambana kitimu na kwa uwezo binafsi na uchungu kuitafutia timu yake matokeo ata kama timu nzima imezidiwa.Lous mikson alikua na hiyo spirit ila naye alikuja kuondoka.morison ni mpambanaji ila anakata tamaa mapema.Kidogo sakko anajitaidi ila naye anakosa sapoti ya kutosha.Kwahiyo tungempata huyo jamaa angesaidia sana kupambana pale mbele kwenye safu ya ushambuliaji.
 
Sisi tunamtaka kiukweli na berkane wanamtaka, ila sisi hatuwezi kuifikia ofa ya berkane, simba bado kiuchumi kupambania mchezaji na timu za uarabuni au south afrika.
Ushauri mzuri kabisa simba wawekeze kwenye scouting, hawa kina adebayo wawapate kabla hawajaonekana na timu kubwa, timu kubwa waje kuwaona hapa hapa kwa simba, itakoga pesa mingi saana.
tatizo simba ukiwambia hamna uwezo wa kiuchumi kupambania wachezaji hawakuelewi
 
Back
Top Bottom