Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Ukisikia habari za Adebayor unapapatika kwelišKwamba yupo tayari kupishana na pesa nyingi na kuja kichukua pesa ndogo Msimbazi kwavile ana mapenzi na Simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia habari za Adebayor unapapatika kwelišKwamba yupo tayari kupishana na pesa nyingi na kuja kichukua pesa ndogo Msimbazi kwavile ana mapenzi na Simba
Wengine wana matatizo ya akili, Ajib kuondoka Yanga kwenda Simba huku akiona wazi hana namba ni upungufu wa akili.Ndio ujue sio mara zote pesa itakuwa na ushawishi kwa kila mtu
Alishawagomea usidhani ngoma ni ya kitoto.Nilidhani tuliposema tunamhitaji Victorien Adebayor tayari tumeshaanza harakati za kumpata matokeo yake RS Berkane wapo katika 90% ya kumpata na kuwa Mali yao rasmi.
Scout wa Tz njaa tupu. Atakuletea mchezaji, sio kwavile ni fundi, Bali kwavile amehaidiwa 10% toka kwa mchezaji. Na hii inasababisha wachezaji wa kiwango Cha chini wanajazana bongo. Heri tuendelee kuwaona kwa mtindo huu huuNatamani mno huu ushauri wako mzuri na wa thamani Uongozi wa Simba SC uuone na uufanyie Kazi kwani umesema Ukweli mtupu.
Yeye kama mchezaji, anaangalia wapi akienda atacheza. Ila Simba hamna hela ya kushindana na BerkaneJamaa anapenda kuja Simba Sc ni kama Moses Phiri tu, labda kama Simba SC watataka kufanya ujinga wa kutaka kumsajili kwa maslahi kama ya kina Duchu.