Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchumi wa nchi umevurugwa SanaNatamani mno huu Ushauri wako mzuri na wa thamani Uongozi wa Simba SC uuone na uufanyie Kazi kwani umesema Ukweli mtupu.
Mapenzi tupu bila Pesa huwa vinaendana?Adebayor kwa jinsi anavyoipenda simba sijui
Make sure you visit any psychiatrist around your area before it turns Worse. Take it very serious you Certified Nut okay?Yaani unataka watu waache kuhamasisha mechi ya muhimu wakomae na adebayor?
Mchezaji ambaye ana mapenzi na Simba Kabisa yule?
Mods huyu jamaa ni yule yule mliyepiga ban karudi na ID nyingine
Mmesahau Level zenu ni al ahly na Pyramid?
Mkuu kwenye ile list aliyo tweet Mo kuhusu klabu tajiri Africa inamaana haina uhalisia?Kumbuka, hao Berkane waliweza kutoa fedha za kutosha kumnunua Chama kutoka kwetu. Hii maana yake ni kwamba ni klabu yenye fedha nyingi kuliko sisi. Kwa hiyo, pia kwa Adebayor kwenda Berkane kutokana na fedha alizowekewa mezani, inaweza kuwa ni kitu cha kawaida. Ila angeenda Zanaco, labda tungejiona wazembe
Kwamba yupo tayari kupishana na pesa nyingi na kuja kichukua pesa ndogo Msimbazi kwavile ana mapenzi na SimbaAdebayor kwa jinsi anavyoipenda simba sijui
Yule jamaa siku ile alishangalia ushindi wa simba kuliko hata mashabiki wa wekundu wa chalinze wanavyo fanyaMapenzi tupu bila Pesa huwa vinaendana?
Hukumuona alivyokuwa akishangilia ushindi wa simba siku ile?Kwamba yupo tayari kupishana na pesa nyingi na kuja kichukua pesa ndogo Msimbazi kwavile ana mapenzi na Simba
Swali na jibu haviendani. Mkuu siku hizi umekuwaje mbona haukuwa hivyo zamani, ulikuwa hukimbii hoja bali hujibu kama swali lilivyoulizwaHukumuona alivyokuwa akishangilia ushindi wa simba siku ile?
Hivi unafikiri pesa kwenye soka ndio kila kitu?Swali na jibu haviendani. Mkuu siku hizi umekuwaje mbona haukuwa hivyo zamani, ulikuwa hukimbii hoja bali hujibu kama swali lilivyoulizwa
Yani hela za Mwamedi uzipangie bajeti ya timu? Hizo club ulizozitaja ni pesa za club na siyo pesa za mtu binafsi.Mmesahau Level zenu ni al ahly na Pyramid?
Afrika pesa ndio kila kitu, otherwise Luis konde boy asingeondoka Simba.Hivi unafikiri pesa kwenye soka ndio kila kitu?
Ni wachezaji wangapi wamekataa madeal makubwa yenye maslahi na kujiunga na club nyingine zenye pesa ndogo?
Ajibu alipogomea ile ofa na kubakia simba alikuwa yupo Europe?Africa pesa ndio kila kitu, otherwise Luis konde boy asingeondoka Simba.
Offer ipi? Usije ukaleta hadithi za akina Boban kushindwa mpira Sweden kurudi Simba halafu kuja kudanganya eti makati makubwa.Ajibu alipogomea ile ofa nakubakia simba alikuwa yupo Europe?
Si ile ya TP Mazembe mwaka juzi au umesahau ofsa?Offer ipi? Usije ukaleta hadithi za akina Boban kushindwa mpira Sweden kurudi Simba halafu kuja kudanganya eti makati makubwa.
Hao waliozoea kushinda Kariakoo siwashangai.Si ile ya TP Mazembe mwaka juzi au umesahau ofsa?
Ndio ujue sio mara zote pesa itakuwa na ushawishi kwa kila mtuHao waliozoea kushinda kariakoo siwashangai.