Tufahamiane, wewe ni wa muonekano gani?

Tufahamiane, wewe ni wa muonekano gani?

Hii thread ilibidi isikose picha ila sio mbaya mm ni uyu abilia hapo no details

ba0a827e5af658d522bf9688749ee60e.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wengi wetu hatujaonana ana kwa ana...
but tunaweza jieleza hapa tulivyo ili angalau kila mmoja apate taswira ya muonekano wa mwenzake...(Nafikiri si mbaya).
.
Sina shaka kuwa mara nyingi ukimjibu au kusoma thread ya mtu kuna mawazo/taswira fulani ya mtu huyo unaipata...kwa namna hii tunaweza isaidia akili zetu kwa kiasi kuipa muongozo wa taswira wa namna mtu(member mwenzio) anavyofanania...
.
NIANZE MIMI:
-Mwanaume
- Ni mrefu kidogo(ft 5 na inchi kadhaa)
- Mweusimweusi
-No six pack wala kitambi
-Mwili wa kawaida japo si mwembamba kutisha
.
Wewe unafananaje?

Mimi kuanzia kiunoni kwenda juu ni kurefu kuliko kuanzia kiunoni kwenda chini,macho mekundu sana,mguu wangu mmoja ni mfupi hivo huwa natembea kwa kuchechemea pia nina upara kama kinana,nina vinyoleo vingi miguuni,kifuani,tumboni na mikononi wanawake huwa wanasema mimi handsome.
 
Mimi kwa muonekano wangu adhimu.

Ni mwanaume

Mrefu kiasi yaani ule urefu wa kushawishi

Ni maji ya pesa/kunde

Mwembamba kiasi

Sina makalio makubwa mpaka nikipita niangaliwe/kushangaa.

Huwa nanyoa kawaida tu yaani nywele kama zinaota vile.

Meno yangu yana rangi kidogo( kwa baadhi ya watu wa huku kwetu mkoani)nayatunza na kuyasafisha pia(msafi wa meno na kinywa)

Sina kibamia/nina kitu cha wasitani ambacho si haba.

Ndo mwonekano wangu ulivyo hata kama ukikutana na mimi popote pale kwa sifa hizo utanijua tu.
 
Back
Top Bottom