Tufahamishane maneno ya lugha za kigeni yanayotumika katika lugha ya Kiswahili

Tufahamishane maneno ya lugha za kigeni yanayotumika katika lugha ya Kiswahili

jebs2002

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2008
Posts
9,604
Reaction score
8,812
Ebu tuyaweke maneno mblimbali humu tunayoyajuwa na yanatumika kwenye Kiswahili.

Mfano
  • Rais la kiarabu
  • Shukrani tena kiarabu

Tuendelee...
 
Mbatata - kiarabu (batatis)
Marikiti - English (Market)
 
Jaji-judge = English,
pasipoti-passport=English
,milioni -Million = english
bilion-billion
Trillioni-Trillion
 
Back
Top Bottom