Ighombe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 1,181
- 675
namuona dokta nyuma anaweka mafuta kidoleni mwake kabisa ayaaaaa
wenzetu wako makini na afya zao.nasikia nyeto ya mara kwa mara inapunguza uwezekano wa kupata prostate cancer kwani inahusisha utoaji wa mara kwa mara wa manii.(frequently ejaculation) kumbuka prostate cancer inawapata watu aged kuanzia miaka 50 na kuendelea ila kama ujanani ulikuwa ina ejaculate always utakuwa umepunguza kwa kiasi kikubwa uwezekano wa kuipata uzeeni .