Tufanye Check-Up Mara kwa Mara

Tufanye Check-Up Mara kwa Mara

Asante kwa kunielewa mkuu,sasa kwa swali lako dogo hilo ni kwamba tatizo hilo la mabusha kuvimba linaitwa Hydrocele.
Tofauti ni kwamba hiyo Hydrocele ni collection ya maji, generally in the tunica vaginalis of the testes (Hivyo inasababisha uvimbe mkubwa kwenye scrotum,wakati Hiyo BPH yaani benign prostatic hyperplasia ni uvimbe kwenye tezi (gland) ambayo iko ndani.Hyperplasia maana yake ni kuongezeka kwa idadi ya cells (an increase in number of cells) na hivyo kusababisha uvimbe.

Hydrocele utaiona mwenyewe ule uvimbe wa scrotum wakati BPH mara nyingi lazima ufanye rectal examination (kuingiza kidole kwenye njia ya choo) na hata kufanya ultrasound kujua size ya uvimbe huo.

Kumbuka BPH ni idadi ya cells kuongezeka (hyperplasia) au cells kuvimba (hypertroph) wakati HYDROCELE ni collection ya maji kwenye scrotum.

Ungekuwa mwl wangu wa science bila shaka ningeelewa na kuipenda. Hitimisho linadhihilisha how good you are.
 
hahahahaaa huuu upimaji huuu heri anielekeze nijipime wmenyewe tu aiseee, MUNGU aepushie mbali, Pole Profesa Kikwete yaani pamoja na uprofesa wake aaaaaaa
mkuu vp umeona upimaji huo.....
 
Kutiwa kidole ni lazima! Daktari anavaa glovu, halafu anakutia kidole. Anakuambia ukohoe!

Procedure

  • The doctor will tell you that he needs to insert a finger into your rectum in order to examine the prostate gland.
  • Usually you will be asked to stand, feet apart, facing the examination couch and bending forward so that your arms or elbows are on the couch. If you're nervous about not being able to see what's going on, this is a good time to ask the doctor to describe each step to you before it happens.
  • The doctor will put on a surgical glove and will cover a finger in lubricant.
  • The finger will be inserted in a downwards angle as if pointing to the umbilicus (belly button). You may feel a little pressure, but there shouldn't be any pain or discomfort. If it hurts, tell the doctor immediately.
  • A few seconds may elapse as the doctor waits for the external sphincter muscle to relax.
  • You may be aware of some movement of the finger before it is removed. :der:
.
sorry,mm sijaelewa hapa.....akiingiza then ukohoe......hapa doctor anatafuta nn.....uvimbe au kama kunakuwa na maumivu au inakuwaje.......plz
 
Kutiwa kidole ni lazima! Daktari anavaa glovu, halafu anakutia kidole. Anakuambia ukohoe!

Procedure

  • The doctor will tell you that he needs to insert a finger into your rectum in order to examine the prostate gland.
  • Usually you will be asked to stand, feet apart, facing the examination couch and bending forward so that your arms or elbows are on the couch. If you're nervous about not being able to see what's going on, this is a good time to ask the doctor to describe each step to you before it happens.
  • The doctor will put on a surgical glove and will cover a finger in lubricant.
  • The finger will be inserted in a downwards angle as if pointing to the umbilicus (belly button). You may feel a little pressure, but there shouldn't be any pain or discomfort. If it hurts, tell the doctor immediately.
  • A few seconds may elapse as the doctor waits for the external sphincter muscle to relax.
  • You may be aware of some movement of the finger before it is removed. :der:
Thank you sir , but you know eenhe sisi kimila hiyo hairuhusiwi , Ha! Ha! Ha! Haaaa!
 
Asante kwa kunielewa mkuu,sasa kwa swali lako dogo hilo ni kwamba tatizo hilo la mabusha kuvimba linaitwa Hydrocele.
Tofauti ni kwamba hiyo Hydrocele ni collection ya maji, generally in the tunica vaginalis of the testes (Hivyo inasababisha uvimbe mkubwa kwenye scrotum,wakati Hiyo BPH yaani benign prostatic hyperplasia ni uvimbe kwenye tezi (gland) ambayo iko ndani.Hyperplasia maana yake ni kuongezeka kwa idadi ya cells (an increase in number of cells) na hivyo kusababisha uvimbe.

Hydrocele utaiona mwenyewe ule uvimbe wa scrotum wakati BPH mara nyingi lazima ufanye rectal examination (kuingiza kidole kwenye njia ya choo) na hata kufanya ultrasound kujua size ya uvimbe huo.

Kumbuka BPH ni idadi ya cells kuongezeka (hyperplasia) au cells kuvimba (hypertroph) wakati HYDROCELE ni collection ya maji kwenye scrotum.
Pokea salute mkuu .
 
.
sorry,mm sijaelewa hapa.....akiingiza then ukohoe......hapa doctor anatafuta nn.....uvimbe au kama kunakuwa na maumivu au inakuwaje.......plz

maswali yako ya msingi sana. Kwani kuna uhusiano gani wa ugonjwa huo na kuingizwa kidole? Hawa ndo aina ya madaktari ambao humpima mtu kwa kumpapasa
 
Matola, sio kila mtu ni mbumbumbu...kama mleta mada alikuwa na nia ya dhati ya kuelemisha namna Prostate cancer inavyokuwa diagnised kwa nini ameacha aina nyingine ya vipimo?

Labda nikusadies, unaweza kupima kwa kufanya DRE exam (njia aliyotaja mleta mada) au PSA (blood tets). Kwanini ameacha kusema kuhusu PSA test? Na amejuaje kuwa rais ametumia DRE na PSA test?

Mwisho, nilidhani mada (kama heading ya thread inavyosema) inahusu umuhimu wa kufanya check-up mara kwa mara. Lakini inaelekea nia ilikuwa kuelezea DRE test!

ahsante sana Mkuu. Umeeleza vema. Mada hii imeletwa kwa sababu maalum
 
Matola, sio kila mtu ni mbumbumbu...kama mleta mada alikuwa na nia ya dhati ya kuelemisha namna Prostate cancer inavyokuwa diagnised kwa nini ameacha aina nyingine ya vipimo?

Labda nikusadies, unaweza kupima kwa kufanya DRE exam (njia aliyotaja mleta mada) au PSA (blood tets). Kwanini ameacha kusema kuhusu PSA test? Na amejuaje kuwa rais ametumia DRE na PSA test?

Mwisho, nilidhani mada (kama heading ya thread inavyosema) inahusu umuhimu wa kufanya check-up mara kwa mara. Lakini inaelekea nia ilikuwa kuelezea DRE test!

Watu kwa kujidai kujua... Ni hivii DRE kwa prostate haina mbadala ni lazima upigwe kidole kwanza ndiposa hizo PSA na mengineyo yafuatie.. Na hii sio ushabiki ni fact nakupa , tatizo menu mnachukulia kama kitu cha ajabu sana kwa madaktari hiyo DRE ni kipimo kama kipimo kingine tu
 
ahsante sana Mkuu. Umeeleza vema. Mada hii imeletwa kwa sababu maalum

Ndiyo, mada imeletwa kwa sababu maalum - kwamba hili tatizo limemtokea VIP, tena mkulu. Kama mkulu angekuwa na wasahauri wazuri wangemshauri awe balozi mkuu katika kampeni ya kuwahamasisha wanaume wa 50+ kupima (bila kuogopa DOLE - maana aliepukiki lakini linaokoa maisha). Mkulu angehakikisha katika kipindi chake kilichobaki cha mwaka mmoja kinawekwa kitengo maalum pale muhimbili kikiwa well equiped na vyombo na wataalamu kuhakikisha huduma bora inapatika hapa hapa kwa wanaume wote. In fact, ningekuwa yeye, ningeachana na kupigania katiba chakachuzi na kuvalia njuga kampeni ya kupima na kutibiwa kwa tatizo hili. Hii ingekuwa legacy ya kweli badala ya katiba chakachuzi. Lakini washauri wake kama ndio nyie akina msalani, basi mtabakia na fikira mgando kama hizi.
 
Hivi hii Topic inamaanisha kua ili kutoa hiyo kitu lazima upimwe Oil? CC PastorPetro
 
Mimi nadhani wanaume tumebahatika kuwa tunapimwa kwa kidole kwenye Anus tu. Sasa fikiria akina mama, Daktari anaigiza vidole au mkono huko kucheki kizazi. Pia wanakatwa kipande cha kizazi kila mwaka, yaani Pap Smear ili kuona kama wana kansa! Ukitaka afya bora basi mambo ndo hayo!

Mungu awabariki! 😛eace:
 
Sasa kama kupima Prostate ni Taboo, basi tutakufa kwa wingi! Wengi wamekwisha kufa shauri ya ignorance. Eti bora 'nife kulikoni nichekiwa Prostate kwa finga'. Njia rahisi kupima ni hiyo ya kidole. au wanaona bora kusema wamelogwa. Mimi nataka kuona wajukuu wangu, na wanaume wengi wanatake kuona wajukuu na watukuu wao. Tuondokane na taboo za hapo zamani za kale. Ni mwaka 2014 sasa. Mungu awabariki.:first:
 
Back
Top Bottom