namuona dokta nyuma anaweka mafuta kidoleni mwake kabisa ayaaaaa
check up mwishowe ikuongezee presha tuu
Sasa kama kupima Prostate ni Taboo, basi tutakufa kwa wingi! Wengi wamekwisha kufa shauri ya ignorance. Eti bora 'nife kulikoni nichekiwa Prostate kwa finga'. Njia rahisi kupima ni hiyo ya kidole. au wanaona bora kusema wamelogwa. Mimi nataka kuona wajukuu wangu, na wanaume wengi wanatake kuona wajukuu na watukuu wao. Tuondokane na taboo za hapo zamani za kale. Ni mwaka 2014 sasa. Mungu awabariki.:first:
Siku hizi si lazima upigwe dole gumba mku.nduni, wanapima na damu pia ili kujuwa prostate iko vipi. Dokta anayelazimisha kumchapa mtu dole gumba mku.nduni tena rais basi huyo anataka kumkomoa tu na atakuwa katumwa na Lowassa ili watanzania wamcheke akirudi. Tusubiri kina Mze Yusuphu kumwimba mkulu kwa nyimbo za vijembe.
Mods kuachia mada ya namna hii ni kumkosea heshima rais wetu! Mnashiriki kumdhalilisha kiongozi wa nchi. Mtoa mada anastahili kushtakiwa kwa kumdhalilisha rais!
wenzetu wako makini na afya zao.nasikia nyeto ya mara kwa mara inapunguza uwezekano wa kupata prostate cancer kwani inahusisha utoaji wa mara kwa mara wa manii.(frequently ejaculation) kumbuka prostate cancer inawapata watu aged kuanzia miaka 50 na kuendelea ila kama ujanani ulikuwa ina ejaculate always utakuwa umepunguza kwa kiasi kikubwa uwezekano wa kuipata uzeeni .
Lkn jamani ni ulize hivi hospital gani hapa bongo waweza Pima haya magonjwa na kupata matibabu na vipimo vya uhakika?