Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Lissu atakuwa mzee kajizeekea na kusukari kitakuwa kimeshammaliza.Watanzania siasa siyo nyepesi kama mnavyodhani, lissu hawezi kushinda uenyekiti hata mbowe akimpigia kura lissu, ila baada ya miaka mitano mnyika atakuwa mwenyekiti na lissu atakuwa amesajili chama chake.
Mbona umepaniki?Na Lissu atakuwa mzee kajizeekea na kusukari kitakuwa kimeshammaliza.
Kila jambo lina wakati wake, alifanikiwa enzi za Chacha Wangwe na Zitto lakini sio sasa.Usicheze na Mbowe, yule ni born town, kuna siku 2023 nilikutana naye pale madson square new york city, mitaa niliyomkuta ndo niliamini yule mtoto wa mjini, lissu bado mshamba sana, unavyomwona kinana na anavyomunipulate politics ndiyo alivyo mbowe, mbowe ni political strategist, usicheze naye
Maneno ya watoto haya, hakuna lolote litabadilisha matokeo..Lissu hawezi kuwa Mwenyekiti chadema.Kila jambo lina wakati wake, alifanikiwa enzi za Chacha Wangwe na Zitto lakini sio sasa.
Time zimeshamkataq
Lissu hawezi kushinda, hakuna asiyejua kuwa Mbowe ni strategistManeno ya watoto haya, hakuna lolote litabadilisha matokeo..Lissu hawezi kuwa Mwenyekiti chadema.
Utakufa wewe siku Lissu akitangazwa kuwa mwenyekiti wa chadema.Na Lissu atakuwa mzee kajizeekea na kusukari kitakuwa kimeshammaliza.
Uña maana hàta Mbowe akipàta kura 0 àtamshinda lissu.Watanzania siasa siyo nyepesi kama mnavyodhani, lissu hawezi kushinda uenyekiti hata mbowe akimpigia kura Lissu, ila baada ya miaka mitano mnyika atakuwa Mwenyekiti na Lissu atakuwa amesajili chama chake.
Hakuna kiumbe kiliwahi kuwanyima CCm usingizi kama huyu jamaa,hakuna chama kiliwahi kuwa na mawaziri wa ccm wengi kama huyu jamaa,huyu jamaa anatumia akili,halafu sio mwepesi kupanic hii ndio inamsaidiaUsicheze na Mbowe, yule ni born town, kuna siku 2023 nilikutana naye pale madson square new york city, mitaa niliyomkuta ndo niliamini yule mtoto wa mjini, lissu bado mshamba sana, unavyomwona kinana na anavyomunipulate politics ndiyo alivyo mbowe, mbowe ni political strategist, usicheze naye
Ndo ukweli wenyewe, Lissu hapati hata kura 50Ni mgeni wa Siasa za TZ ndiye anaweza kufikiri ati Lissu atoboe kwa Mbowe. Yaani kura 50 zenyewe shughuli.
Mwanasiasa makini hawezi kuanza kubwabwaja hadharani hadi ile mikutano ya siri ya viongozi wa dini kulioifanya.
Kifupi jamaa hafai kuwa kiongozi.
Huyui linalo endelea ....Mikakati ya Lissu ni mizito na yakisomi.Tegemea Lissu kuwa Mwenyekiti kama Mbowe hatamvua uwanachama keshokutwaSiasa siyo sheria, ni mikakati, lissu hana mikakati, kifupi anapoteza muda