Wafuasi wa Rais
Senior Member
- May 31, 2023
- 151
- 147
Mdahalo uwe live hapa hapa JF. Jukwaa la kisiasa la JF sasa liwe la midahalo ya kisiasa hapa nchini Tanzania.
Mada mojawapo kati ya hizi mbili, au zingine vile mtakavyoona:
1 - Itikadi za kisiasa ubaya na uzuri wake.
Sisi kama Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters Network (PSN) hatukubaliani na itikadi za kisiasa. Hazina tija kwenye ulimwengu wa siasa za kisasa. Zimepitwa na wakati.
Zinasababisha uhasama usio na tija na mgawanyiko kwenye jamii. Kwa maneno mengine husaidia kuondoa uzalendo wa kitaifa, umoja na pia hupovusha fikra.
Tunakubaliana na tunaamini kwamba Rais ndio kila kitu bila kujali chama chake cha siasa; yaani hakuna sababu ya kuwa na itikadi za kisiasa. Rais akishachaguliwa kila mmoja awe nyuma ya Rais kumsaidia kwa ajili ya Taifa letu wenyewe.
2 - Mafanikio ya Rais Samia Suluhu Hassan, phD akiwa kama Rais wa Taifa letu.
Yapo mengi mazuri sana aliyofanikiwa. Kama Wafuasi Binafsi wa Rais tunakiri pia kuwa baadhi ya watendaji wake walimuangusha aidha kwa bahati mbaya ama kwa sababu hawana weledi wa kazi waliyopewa. Lakini mara kwa mara akiwabaini anawaondoa haraka sana.
Ila kwa ujumla wake, anafanya vizuri sana kiasi kwamba tuna nguvu kubwa mno ya kufanya midahalo na yeyote yule kwa sababu facts zipo na zinajieleza zenyewe.
Sasa, tunaomba midahalo ya mara kwa mara kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.
Unaweza kuwasiliana na Mratibu wa Wafuasi Binafsi wa Rais kwa ushirikiano zaidi.
Mleteni mpinzani yeyote yule anayepinga mafanikio ya Rais. Mleteni mwanasiasa yeyote yule anayeamini katika itikadi za kisiasa. Tutawaumbua.
Karibu pia tuwasiliane kwa njia ya private message (pm).
Mratibu Mkuu,
Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais (PSN),
Mobile: +255 (0) 675 777 162.
Email: presidentsntz@gmail.com
Mada mojawapo kati ya hizi mbili, au zingine vile mtakavyoona:
1 - Itikadi za kisiasa ubaya na uzuri wake.
Sisi kama Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters Network (PSN) hatukubaliani na itikadi za kisiasa. Hazina tija kwenye ulimwengu wa siasa za kisasa. Zimepitwa na wakati.
Zinasababisha uhasama usio na tija na mgawanyiko kwenye jamii. Kwa maneno mengine husaidia kuondoa uzalendo wa kitaifa, umoja na pia hupovusha fikra.
Tunakubaliana na tunaamini kwamba Rais ndio kila kitu bila kujali chama chake cha siasa; yaani hakuna sababu ya kuwa na itikadi za kisiasa. Rais akishachaguliwa kila mmoja awe nyuma ya Rais kumsaidia kwa ajili ya Taifa letu wenyewe.
2 - Mafanikio ya Rais Samia Suluhu Hassan, phD akiwa kama Rais wa Taifa letu.
Yapo mengi mazuri sana aliyofanikiwa. Kama Wafuasi Binafsi wa Rais tunakiri pia kuwa baadhi ya watendaji wake walimuangusha aidha kwa bahati mbaya ama kwa sababu hawana weledi wa kazi waliyopewa. Lakini mara kwa mara akiwabaini anawaondoa haraka sana.
Ila kwa ujumla wake, anafanya vizuri sana kiasi kwamba tuna nguvu kubwa mno ya kufanya midahalo na yeyote yule kwa sababu facts zipo na zinajieleza zenyewe.
Sasa, tunaomba midahalo ya mara kwa mara kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.
Unaweza kuwasiliana na Mratibu wa Wafuasi Binafsi wa Rais kwa ushirikiano zaidi.
Mleteni mpinzani yeyote yule anayepinga mafanikio ya Rais. Mleteni mwanasiasa yeyote yule anayeamini katika itikadi za kisiasa. Tutawaumbua.
Karibu pia tuwasiliane kwa njia ya private message (pm).
Mratibu Mkuu,
Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais (PSN),
Mobile: +255 (0) 675 777 162.
Email: presidentsntz@gmail.com