Wafuasi wa Rais
Senior Member
- May 31, 2023
- 151
- 147
- Thread starter
- #21
Leteni midahalo. Msiogope
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leteni midahalo. Msiogope
Usiogope midahalo.Mtaukubali ukweli au mnasaka kuwateka watu tu, kwenda kuwangoa meno na plaizi.
Andaeni mdahalo. Kila kitu kina majibu yaliyoonyoka na yanayoshawishi.Kuna mjadala,miradi ya JPM ilitengeneza ajira na inapokamilika imetengeneza ajira na tumeona mfano kwenyw SGR ,stend na masoko.
Sasa Mh kuruhusu mifuko ya hifadhi kujenga Kenya jengo la ghorofa mimi naona haipo sawa,inapeleka ajira kule.
pili dunia inatutegemea kwa makaa ya mawe sisi tunahangaika na wauza mkaa na wakata misitu,ni vyema makaa ya mawe tueleweshwe na sisi watz tuanze kutumia na tutunze miti yetu.
ukipita na treni unaona imebaki vimiembe na vimiti vidogo dogo,baada ya miaka 20 hatutokuwa na miti.Tueleweshe jinsi ya kutumia hii nishati tuokoe nchi.
Kwa taarifa tu,Ukrane wamegomea mafuta na gesi ya Russia na wanaagiza makaa ya mawe yetu kwa kupitia Kenya.Kenya ndio anasomeka kama nchi inayo export kiasi kikubwa kwenda Ukrane,sisi hapa dar hatujui kutumia.
Upo sahihi kabisaMimi nafikiri kumtukuna kiongozi sio busara ila kumkosoa ni sawa kabisa hauwezi kubalika na kila mtu.
Umasikini umetamalaki huko vijijini nyie mbakuja na swagwa za kijinga jinga hapa
Rais ni taasisi sio mtu mmoja. Sio rahisi kumslead Rais kama unavyofikiria. Rais ni nchi.Na wanam mislead bila yeye kujua! Huenda ana nia njema ila wanaomzunguka ndo wanaomwelekeza shimoni