Kuna mjadala,miradi ya JPM ilitengeneza ajira na inapokamilika imetengeneza ajira na tumeona mfano kwenyw SGR ,stend na masoko.
Sasa Mh kuruhusu mifuko ya hifadhi kujenga Kenya jengo la ghorofa mimi naona haipo sawa,inapeleka ajira kule.
pili dunia inatutegemea kwa makaa ya mawe sisi tunahangaika na wauza mkaa na wakata misitu,ni vyema makaa ya mawe tueleweshwe na sisi watz tuanze kutumia na tutunze miti yetu.
ukipita na treni unaona imebaki vimiembe na vimiti vidogo dogo,baada ya miaka 20 hatutokuwa na miti.Tueleweshe jinsi ya kutumia hii nishati tuokoe nchi.
Kwa taarifa tu,Ukrane wamegomea mafuta na gesi ya Russia na wanaagiza makaa ya mawe yetu kwa kupitia Kenya.Kenya ndio anasomeka kama nchi inayo export kiasi kikubwa kwenda Ukrane,sisi hapa dar hatujui kutumia.