Pre GE2025 Tufanye nini ili kuongeza ushiriki wa wanawake hasa vijana kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Pre GE2025 Tufanye nini ili kuongeza ushiriki wa wanawake hasa vijana kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu salaam,

Kama tunavyojua Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu utafanyika Nov 27, na cheche tushaanza kuziona katika vyama vyote.

Kama ilivyo miaka yote wanaume wamekuwa wakiongeza kujitokeza kugombea nafasi hizo huko wanawake wakiendelea kubaki nyuma, na kuwaona hasa wakati wa kupiga kura.

Pia soma: TAMISEMI: Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Mwaka 2024 zitaanza tarehe 20 hadi 26, Novemba

Hii haimaanishi kuwa hakuna wanawake wenye uwezo wa kushika nafasi hizo na kuzitendea haki, naamini hata huko mtaani mnawajua na kutamanai apate nafasi ili asaidie kunyoosha mambo na kuleta maendelea, lakini kutokana na changamoto mbalimbali ushiriki wao umekuwa mdogo sana.

Unadhani nini kinatakiwa kufanyika ili ushiriki wa wanawake ambao hasa ni vijana kwenye masuala ya siasa na hasa kwenye uchaguzi huu ambao upo karibu wa serikali za mtaa?
 
Kwani wao hawajui kama wanatakiwa kushiriki kwenye chaguzi
 
Kwani wao hawajui kama wanatakiwa kushiriki kwenye chaguzi
Nimeeleza hapo kwenye uzi kutokana na changamoto mbalimbali ushiriki wao umekuwa mdogo, hii haimaanishi hakuna wanaoshiriki au hawajui kuwa wanatakiwa kushiriki. Tufanyaje mazingira kuwa rahisi kwao kama ilivyokuwa kwa wanaume?
 
Nimeeleza hapo kwenye uzi kutokana na changamoto mbalimbali ushiriki wao umekuwa mdogo, hii haimaanishi hakuna wanaoshiriki au hawajui kuwa wanatakiwa kushiriki.... tufanyaje mazingira kuwa rahisi kwao kama ilivyokuwa kwa wanaume?
Changamoto kama zipi
 
Wakuu salaam,

Kama tunavyojua Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu utafanyika Nov 27, na cheche tushaanza kuziona katika vyama vyote.

Kama ilivyo miaka yote wanaume wamekuwa wakiongeza kujitokeza kugombea nafasi hizo huko wanawake wakiendelea kubaki nyuma, na kuwaona hasa wakati wa kupiga kura.

Pia soma: TAMISEMI: Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Mwaka 2024 zitaanza tarehe 20 hadi 26, Novemba

Hii haimaanishi kuwa hakuna wanawake wenye uwezo wa kushika nafasi hizo na kuzitendea haki, naamini hata huko mtaani mnawajua na kutamanai apate nafasi ili asaidie kunyoosha mambo na kuleta maendelea, lakini kutokana na changamoto mbalimbali ushiriki wao umekuwa mdogo sana.

Unadhani nini kinatakiwa kufanyika ili ushiriki wa wanawake ambao hasa ni vijana kwenye masuala ya siasa na hasa kwenye uchaguzi huu ambao upo karibu wa serikali za mtaa?
NEC Isifungamane na chama chochote
 
Nyie viumbe si mnasema mnaweza? Sasa kwanini mnahitaji kusaidiwa tena? Wanaume wanaogombea wanasaidiwa na nani? Shenzi kabisa.
Mkuu kuna sehemu yoyote ambayo umetukanwa? Kwanini ujibu wengine kwa lugha chafu.
 
Raisi na wabunge wa viti maalum wameshindwa kutoa kauli ya kueleweka binti mdogo alipobakwa, kuna faida gani ivyo ushiriki wa wanawake zaidi ya kubadilisha mitindo ya mavazi na jeuri ndani ya nyumba.
 
Raisi na wabunge wa viti maalum wameshindwa kutoa kauli ya kueleweka binti mdogo alipobakwa, kuna faida gani ivyo ushiriki wa wanawake zaidi ya kubadilisha mitindo ya mavazi na jeuri ndani ya nyumba
Rais anawakilishwa na watendaji wake huku chini, je suala hilo halijafanyiwa kazi? Mambo hayatakiwi kutegemea matamko ya Rais ndio yafanyike, una hakika hakuna wabunge wa viti maalumu waliotolea tamko kuhusu hilo au unaashumu?
 
Lugha chafu ipo wapi hapo?
Ukifanya ushenzi ukaitwa mshenzi kuna tusi hapo?
Toka comment ya kwanza umekuja kwa shari mpaka umejishtukia na kuifuta, hamna haja ya kukujibu zaidi, ni kuendeleza upumbavu tu
 
Hatuhitaji wanawake kwenye uongozi wengi hawana akili.
kuhimiza wanawake kugombea uongozi ni sawa na kushabikia ndoa za jinsia Moja,hata mtume wetu kipenzi Mohamed alisema umma unaongozwa na mwanamke hautafanikiwa. 50/50 ni fundisho la kishetani.
 
Hawa kina chura mzee?, au Kuna wanawake wengine tuwasubiri?. Uchaguzi wowote utakaohusisha mwanamke siwezi hata kusogeza kidole.
 
Cute Wife wanawake wakipewa hela watashiriki bila tabu. Wala msiwaze sana kujiuliza watashirikije, nyie wapeni milioni milioni muone watakavyoshiriki kikamilifu🤣🤣🤣.....si unajua tena wanawake na hela za bure😂😂
 
Back
Top Bottom