In the real world au maisha halisi ni lazma kuwe na kitu kinachompa mtu hamasa ya kufanya kitu flani aidha ni maslahi,uzalendo , utu ama udini na kadhalika ...Mleta uzi naomba utoe ufafanuzi, naona raia wanchanganya mjasiria mali wa kusaka faida binafsi (business enterprise entrepreneurship) na yule anayesaka faida ya jamii bila yeye kufaidika binafsi(social entrepreneurship).....
Maana natumia misuli kumfafanulia mtu hapa na yeye yupo busy kunibishia.....