Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Mleta uzi naomba utoe ufafanuzi, naona raia wanchanganya mjasiria mali wa kusaka faida binafsi (business enterprise entrepreneurship) na yule anayesaka faida ya jamii bila yeye kufaidika binafsi(social entrepreneurship).....
Maana natumia misuli kumfafanulia mtu hapa na yeye yupo busy kunibishia.....
Maana natumia misuli kumfafanulia mtu hapa na yeye yupo busy kunibishia.....