Tufanye siasa kwa Weledi na kutumia hoja na 'convincing power', si lugha za ajabu

Tufanye siasa kwa Weledi na kutumia hoja na 'convincing power', si lugha za ajabu

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Habarini za leo ndugu WaTanzania,

Convincing power ni uwezo wa kutumia ulimi wako vizuri kwa kutumia lugha ya kawaida isio kali kumshawishi mtu akupatie kile unachokihitaji.

Mtu mwenye convincing power hatumii lugha za ajabu hujenga hoja kwa kutumia lugha ya kawaida sana isiyo kwaza wala kumchukiza mtu.

Lakini pamoja na kwamba mtu huyo hutumia lugha ya kawaida ujumbe uliobebwa ndani ya lugha yake huweza kusikika na akasikilizwa.

Tuepuke Watanzania kutumia lugha za ukali, lugha za ajabu na pia tusitumie lugha za matusi. Twende kisomi tujenge hoja zenye ujumbe wenye nguvu ya kuweza kusikika lakini hoja hizo zitumie lugha ya kawaida isio kwaza wala kuchukiza.

Kwani kutumia lugha za ajabu haipendezi kwa mtu aliye elimika. Kwa leo sina mengi sana ya kushauri. Nitaishia hapa.

Kazi iendelee.
 
mimi nawambia Watanzania wote mkuu. Sijagusia mtu hapo.
MDUDE alitekwa, kuna mtu nani (nyie mnaotaka stahaa) aliyeweza kusimama na kusema chochote kukemea JEURI hiyo.

Akasingiziwa kesi na kukaa mahabusu siku zaidi ya 400+, je ninyi mnaozungumzia stahaa ni nani Kati yenu aliyeweza kuongelea JEURI hiyo.

Acheni unafiki.

Watu Waliokua Wanashangilia na Kuunga Mkono Watu Kutekwa, Kuteswa, Kufilisiwa, Kuuwawa N.k Leo Ndo Wanataka Kuwa Walimu Kwenye Somo La "STAHA"? Kweli? Huyu Mnayetaka Akosolewe Kwa Staha Sindo Alisema Polisi Hawawezi Mpiga Lissu Risasi 16 Wasimuuue? Hiyo Ndo Staha? Shwain!
 
MDUDE alitekwa, kuna mtu Nani (nyie mnaotaka stahaa) aliyeweza kusimama na kusema chochote kukemea JEURI hiyo.

akasingiziwa kesi na kukaa mahabusu siku zaidi ya 400+, je ninyi mnaozungumzia stahaa ni nani Kati yenu aliyeweza kuongelea JEURI hiyo..
Hapo sasa ndipo unapokosa hoja mkuu za kujadili mada kwa kuanza kutumia majina ya watu. Hivi hawa unaowataja majina yao hapa huoni kama unawakosea sana. Unashindwa kuandika hoja bila kutumia majina ya watu.
 
hapo sasa ndipo unapokosa hoja mkuu za kujadili mada kwa kuanza kutumia majina ya watu. Hivi hawa unaowataja majina yao hapa huoni kama unawakosea sana. Unashindwa kuandika hoja bila kutumia majina ya watu.
Wacha maigizo, majina gani ameyaweka hapo? Sema umeshindwa kuijibu hoja yake sio hujaiona hoja, nyie mnaongozwa na hisia sana, hata maamuzi yenu yanaamuliwa kwa hisia badala ya logic.
 
hapo sasa ndipo unapokosa hoja mkuu za kujadili mada kwa kuanza kutumia majina ya watu. Hivi hawa unaowataja majina yao hapa huoni kama unawakosea sana. Unashindwa kuandika hoja bila kutumia majina ya watu.
Tunatoa na mfano!! Unaweka mada huna mfano ni bure kabisa
 
Wacha maigizo, majina gani ameyaweka hapo? sema umeshindwa kuijibu hoja yake sio hujaiona hoja, nyie mnaongozwa na hisia sana, hata maamuzi yenu yanaamuliwa kwa hisia badala ya logic.
Ngoja nicheke tu😂😂😂😂😂😂. Nimeona tunakwenda perpendicular
 
Wacha maigizo, majina gani ameyaweka hapo? sema umeshindwa kuijibu hoja yake sio hujaiona hoja, nyie mnaongozwa na hisia sana, hata maamuzi yenu yanaamuliwa kwa hisia badala ya logic.
Unafiki upo vichwani mwao.
 
Ngoja nicheke tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nimeona tunakwenda perpendicular
Ukishamaliza kucheka niambie hizo siasa za weledi unazotaka ndio kutotii sheria za nchi kwa kuzuia mikutano ya kisiasa? au kuzuia mchakato wa Katiba Mpya kinyume cha sheria?

Ndio maana umeitwa mnafiki.
 
Ngoja nicheke tu😂😂😂😂😂😂. Nimeona tunakwenda perpendicular
Mkuu, hao ndio think tank ya chama chetu cha upingaji, na ndiyo unawaambia wafanye siasa kwa staha. Chadema ya staha ilikuwa ile ya zamani iliyokuwa imejikita kwenye hoja na issues zinazowakabili wananchi (I am proud to say I was part of that), hii ya sasa hivi ni porojo tu matusi basi.
 
Kiongozi wa uvccm aliwahi sema viongozi wa upinzani hasa zitto wauliwe, aliachwa tu
 
Habarini za leo ndugu WatanzaniaTanzania,

Convincing power ni uwezo wa kutumia ulimi wako vizuri kwa kutumia lugha ya kawaida isio kali kumshawishi mtu akupatie kile unachokihitaji.

Mtu mwenye convincing power hatumii lugha za ajabu hujenga hoja kwa kutumia lugha ya kawaida sana isiyo kwaza wala kumchukiza mtu.

Lakini pamoja na kwamba mtu huyo hutumia lugha ya kawaida ujumbe uliobebwa ndani ya lugha yake huweza kusikika na akasikilizwa.

Tuepuke Watanzania kutumia lugha za ukali, lugha za ajabu na pia tusitumie lugha za matusi. Twende kisomi tujenge hoja zenye ujumbe wenye nguvu ya kuweza kusikika lakini hoja hizo zitumie lugha ya kawaida isio kwaza wala kuchukiza.

Kwani kutumia lugha za ajabu haipendezi kwa mtu aliye elimika. Kwa leo sina mengi sana ya kushauri. Nitaishia hapa.

Kazi iendelee.
Mama ameamua kucheka na Mbwa ngoja sasa aingie nao msikitini
 
Yule kiongozi wa UVCCM alisema wanaokosoa wauliwe mlikaaa kimya? Acheni unafiki.
Mleta hoja yuko sahihi - tujitahidi kuifanya Tanzania kuwa kisima cha amani (CCM akikosea tumkosoe, CDM, ACT nk nao wakikosea tuwakosoe).

Hatuwezi kuwa sehemu ya Taifa la watu wasiokuwa na maadili
 
👇👇👇
5tfvce11.png
 
Back
Top Bottom