Uchaguzi 2020 Tufanye Uchaguzi wa Wabunge na Madiwani, Rais Magufuli hana Mpinzani

Uchaguzi 2020 Tufanye Uchaguzi wa Wabunge na Madiwani, Rais Magufuli hana Mpinzani

Vyote lzm kuwe na mgawanyiko ambao umesababishwa na mtawala asiyetenda haki hivo upata upenyo wa kuwatumia upande unaodai haki kulipua moto.Taifa lolote lisilo na umoja lisiloongea lugha moja haitaji miaka kusambaratishwa na adui.Kiongozi smart uwaunganisha watu wake kwa kuwatendea haki,kutowabagua wengine ili adui asiwatumie wale wengine kumsambaratisha
Asante kwa kunitoa tongo tongo.
 
Back
Top Bottom